Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
Kama ni kweli basi nawashauri wasikanyage huko.

Si kweli Taarime ni Pemba ila watu wa taarime hawapendi kuonewa na hua wanatafuta haki zao hata kwa silaha.

Toa uongo wako hapa, watu wa Tarime hawana mpango wa kuchukua silaha na kuleta ugomvi. Watu mnapenda kweli kuona damu zimwagike kisha muanze kashfa na kujumuisha wakurya wote kuwa ni wapenda fujo.

Unafiki na uzandiki wenu ushindwe kwa jina la Yesu aliye hai.
 
Paparazi.... hili ni kubwa mno kushinda wanavyofikiria. Kosa kubwa ni kuendelea kuwepo kwa Malya. Usishangae siku zinazokuja mkajua jina hasa la Malya ni nani.
 
Acheni kuleta habari za uchochezi hapa zisizo na ukweli wowote. Msitake kuwagawa watu wa Tarime na mambo yenu haya yasiyo na ushahidi wowote.

Rudi huko ulikosikia uwaambie hao waliokuambia huu udaku kuwa waache kuleta haya mambo kwa watu wa Tarime. Kuna majonzi makubwa sana na watu wote wa Tarime tunajiandaa na maziko na hakuna yeyote aliyezuiwa kufika. yeyote yule anayetaka kuja msibani -viongozi wa ccm na wa upinzani watahudhuria kwa amani haya mazishi.

Hizi mbinu zenu za kutaka kuleta ugomvi Tarime mzikomeshe mara moja.

Ni CCM pekee ndio wenye kuweza kuzuia hili. 1. Vijana wao ndio wameandaliwa kuwarushia mawe Mbowe na Dr Slaa. 2. Wao ndio wanavyombo vya ulinzi na usalama ikiwemo FFU na polisi.

Hayo ya Mama Kabaka yalianza siku nyingi, ya Profesa Wangwe yameanza mara baada ya kifo cha mdogo wake. Tusubiri tuone zaidi

PM
 

:(

...wallahi i admit, this is too much for me, I cant handle 'the twist' any more, duuuh!

am out!
 
Again, I smell blood.

MKJJ, una taarifa zozote kuhusu uhusiano zaidi baina kijana huyo Mallya na marehemu? Ilikuwaje wafunge safari pamoja kwenda Dar tena usiku?
 
Maelezo yanayotolewa kuhusu mazingira ya kifo cha Wangwe yanaonesha kukinzana. Uchunguzi makini wa polisi unaweza kuondoa utata huu. Polisi wana nyenzo zinazohitajika? Au nao wataishia kuwa wapiga ramli tu.

Sina imani na polisi wetu siku hizi. Waongo, majambazi na ni wala rushwa wakubwa.Sitegemei tutapata ukweli wa kifo cha Wangwe
 
Ni CCM pekee ndio wenye kuweza kuzuia hili. 1. Vijana wao ndio wameandaliwa kuwarushia mawe Mbowe na Dr Slaa. 2. Wao ndio wanavyombo vya ulinzi na usalama ikiwemo FFU na polisi.

Hayo ya Mama Kabaka yalianza siku nyingi, ya Profesa Wangwe yameanza mara baada ya kifo cha mdogo wake. Tusubiri tuone zaidi

PM

Sawa Paparazi kwa unayosema kuwa kuna baadhi ya watu wanaweza kuletea fujo baadhi ya viongozi wa vyama mbalimbali na huku watu wa media kama kawaida yao wakaendeleza habari za uongo kama ambavyo TBC na magazeti ya Rostam Azizi yanavyoendeleza habari za uongo.

Watu wa Tarime tunapenda amani na huyu mama Kabaka na wenzake wasidhani kuwa wanaweza kutumia msiba mkubwa kama huu kutuvuruga. Ningemshauri waziri wa mambo ya ndani aweke ulinzi wa hakika na polisi nao wadhibiti wale wote wanaotaka kuvuruga amani ya wananchi wa Tarime kwa manufaa yao ya kisiasa.
 
Kesi kama hii uchunguzi wake usifanywe na Polisi maana tayari tumeshajua jibu watakalokuja nalo. "Kifo kilisababishwa na ajali".
Na ngoja niwambie watakuja na jibu hilo si kwa sababu wamepindisha ushahidi, No ni kwa sababu ni incompetent katika mambo ya upelelezi kama huo. Believe me!
 
Sasa mbona sielewi hapa? itafikia kipindi sitaiamini mpaka PC yangu hii.....
 
zamani, habari zilikuwa zinatoka Polisi, zikichujwa na kuzungushwa; hili la Wangwe watapata kazi sana. Na walifanya jambo baya sana kumtaja kwa jina yule shahidi mzee aliyejitokeza hadharani. Wamuhatarisha sana.
 
Toa uongo wako hapa, watu wa Tarime hawana mpango wa kuchukua silaha na kuleta ugomvi. Watu mnapenda kweli kuona damu zimwagike kisha muanze kashfa na kujumuisha wakurya wote kuwa ni wapenda fujo.

Unafiki na uzandiki wenu ushindwe kwa jina la Yesu aliye hai.

Wewe sijui una tatizo gani?

Mimi naongelea mambo mengine wewe una combine kwa mambo mengine tatizo lako hapo haswa ni nini? Nafikiri una tatizo la kuelewa nini kinaongelewa.

Hilo la silaha wala halina uhusiano na RIP Wangwe wala Mbowe wala SLaa.

Wagumu wakuelewa kama ninyi mtakua mnalazimu watu waandike page tatu badala ya mistari miwili kwa kuzielezea ili upate nini kinaongelewa.

Mimi nilikua nakanusha kauli ya PM kua Tarime ni kama Pemba nikasema sivyo wanatarime tulivyo. wanaatarime wao wanapigana hata kwa silaha pale wanapoona wameonewa.Mfano masai akija kutuibia ng'ombe zetu vijana wote wenye umri wa miaka 18 lazima uende ukapigane.UMEELEWA.

Na maana ya kua wana Taarime walimchagua RIP CHAHA kwa sababu naye anawaunga mkono ktk move zao na si kwa sababu ni CHADEMA .UMENIELEWA.

Ndio maana RIP CHACHA mwaka jana kwa kutia msisitizo kua anaunga move zao alitaka naye hadharani kufanya vurumai kwa kurusha mkono na mkuu wa wilaya .ya taarime UMEELEWA.

Taarime wao hawachagui chama ila wanachagua mtu anayewaunga mkono .UMEELEWA yani wakiamusha zari na wewe mbunge lazima useme zari zari go ahead.UPOO au bado hujaelewa taabu kweli kweli

Unauhakika taarime ni ya wa kurya tu??
 
mzee.. ninayoyajua yananitisha; I'll call you.
Hahaha, niliwahi kuongea na Kubenea akanieleza juu ya mtu aliyejitambulisha kama Invisible. Soon utasikia Mwanakijiji mwingine ndani ya Dar!

BTW: Huyu ndo aliunga deal kwa marehemu na jamaa zetu wa Barrick sio? Halafu marehemu akamfuata Zitto 'atulie' au sio? Una zaidi ya haya?
 
zamani, habari zilikuwa zinatoka Polisi, zikichujwa na kuzungushwa; hili la Wangwe watapata kazi sana. Na walifanya jambo baya sana kumtaja kwa jina yule shahidi mzee aliyejitokeza hadharani. Wamuhatarisha sana.

Kama ndio hivyo mbona mtama umeshamwagika kwenye kuku wengi. Watawaondoa wangapi?
 
Mzee mwanakijiji

Chonde chonde tupe hapa hapa jamvini. Tunazihitaji hizo. Hii ni JF Where we dare talk openly.

Bring it out
 
Wewe sijui una tatizo gani?

Mimi naongelea mambo mengine wewe una combine kwa mambo mengine tatizo lako hapo haswa ni nini? Nafikiri una tatizo la kuelewa nini kinaongelewa.

Hilo la silaha wala halina uhusiano na RIP Wangwe wala Mbowe wala SLaa.

Wagumu wakuelewa kama ninyi mtakua mnalazimu watu waandike page tatu badala ya mistari miwili kwa kuzielezea ili upate nini kinaongelewa.

Mimi nilikua nakanusha kauli ya PM kua Tarime ni kama Pemba nikasema sivyo wanatarime tulivyo. wanaatarime wao wanapigana hata kwa silaha pale wanapoona wameonewa.Mfano masai akija kutuibia ng'ombe zetu vijana wote wenye umri wa miaka 18 lazima uende ukapigane.UMEELEWA.

Na maana ya kua wana Taarime walimchagua RIP CHAHA kwa sababu naye anawaunga mkono ktk move zao na si kwa sababu ni CHADEMA .UMENIELEWA.

Ndio maana RIP CHACHA mwaka jana kwa kutia msisitizo kua anaunga move zao alitaka naye hadharani kufanya vurumai kwa kurusha mkono na mkuu wa wilaya .ya taarime UMEELEWA.

Taarime wao hawachagui chama ila wanachagua mtu anayewaunga mkono .UMEELEWA yani wakiamusha zari na wewe mbunge lazima useme zari zari go ahead.UPOO au bado hujaelewa taabu kweli kweli

Sijui unaongelewa watu wapi wa Tarime maana mimi ni mtu wa Tarime na sijaona kama watu wa Tarime ni wapenda zari. Tafadhali ondoa generalization kwenye statement zako.

Kama wewe unapenda zari basi si wote. Kama wewe unasuluhisha mambo yako kwa silaha basi ujue kuwa si wote Tarime tunapenda fujo. Umeelewa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom