Magabe Kibiti
JF-Expert Member
- Jan 20, 2008
- 292
- 0
Kama ni kweli basi nawashauri wasikanyage huko.
Si kweli Taarime ni Pemba ila watu wa taarime hawapendi kuonewa na hua wanatafuta haki zao hata kwa silaha.
Toa uongo wako hapa, watu wa Tarime hawana mpango wa kuchukua silaha na kuleta ugomvi. Watu mnapenda kweli kuona damu zimwagike kisha muanze kashfa na kujumuisha wakurya wote kuwa ni wapenda fujo.
Unafiki na uzandiki wenu ushindwe kwa jina la Yesu aliye hai.