Mpita Njia
Platinum Member
- Mar 3, 2008
- 6,999
- 1,189
Pole kwa wafiwa.
wandugu, hii ni ajali na mimi ninaamini ni ajali kama zilivyo ajali nyingine.
Ingeweza kutokea hata kama Chacha angekuwa anaedneshwa na dereva kwa sababu huyo dereva naye ni binadamu kama marehemu alivyokuwa.
Corlla zinapata ajali kama yanavyopata ajali mashangingi, treni, ndege na meli.
So far as hakuna authority iliyoeleza sababu za ajali hiyo conclusively, speculations hazitatusaidia kujua chanzo cha ajali.
La msingi ni kujiuliza; kwa nini ajali zinaendelea kumaliza maisha ya watanzania kila kukicha?
wandugu, hii ni ajali na mimi ninaamini ni ajali kama zilivyo ajali nyingine.
Ingeweza kutokea hata kama Chacha angekuwa anaedneshwa na dereva kwa sababu huyo dereva naye ni binadamu kama marehemu alivyokuwa.
Corlla zinapata ajali kama yanavyopata ajali mashangingi, treni, ndege na meli.
So far as hakuna authority iliyoeleza sababu za ajali hiyo conclusively, speculations hazitatusaidia kujua chanzo cha ajali.
La msingi ni kujiuliza; kwa nini ajali zinaendelea kumaliza maisha ya watanzania kila kukicha?