Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
I call for an independent investigation by the Scotland Yard...

sidhani kama kuna haja ya hilo, ni kujibu maswali tu ya kuondoa utata. Unless wachunguzi waone kifo hakikusababishwa moja kwa moja na ajali. So far, naamini ni ajali mbaya tu.

Kuna Umbali gani kati ya Kongwa na Dodoma, na Polisi walichukua muda gani kufika eneo la ajali?
 
so kama saa moja baadaye... Polisi walifika baada ya Mkuu wa Polisi kupata taarifa au kabla ya mkuu wa Polisi kupata taarifa?

Mkuu wa Plisi kwa maelezo yake alipata taarifa saa 4.ina maana askari walifika baada ya muda huu(kiuhalisia).ina maana walifika kuanzia saa 6 za usiku hivi..Nani alimpigia simu mkuu wa Plisi na namba yake alitoa wapi?na hao wanakijiji waliitoa wapi namba hiyo?
 
PUMZIKA KWA AMANI CHACHA....hapa sasa navyojuwa watanzania wenzangu tulivyo ...panaweza kuzuka mambo ..NA chadema WASIPOKUWA MAKINI ..wakasambaratika. marehemu alikuwa MACHACHARI dakika za mwisho...huenda angeendelea kukaa UWANJANI timu ingetoa upinzani wa kutosha au hata USHINDI MNONO 2010.
 
sidhani kama kuna haja ya hilo, ni kujibu maswali tu ya kuondoa utata. Unless wachunguzi waone kifo hakikusababishwa moja kwa moja na ajali. So far, naamini ni ajali mbaya tu.

Kuna Umbali gani kati ya Kongwa na Dodoma, na Polisi walichukua muda gani kufika eneo la ajali?

Ushauri wa bure kwa Bw.Mbowe, asiende kushiriki mazishi. Maisha yake yanaweza yakawa hatarini maana sidhani kila mtu huko Tarime ataamini hayo ya ajali, hasa baada ya vurugu kati yao.
 
sidhani kama kuna haja ya hilo, ni kujibu maswali tu ya kuondoa utata. Unless wachunguzi waone kifo hakikusababishwa moja kwa moja na ajali. So far, naamini ni ajali mbaya tu.

Kuna Umbali gani kati ya Kongwa na Dodoma, na Polisi walichukua muda gani kufika eneo la ajali?

Sasa kama unaamini ni ajali mbaya utata unatoka wapi?
 
utata uko kwenye muda. Ninachojaribu kuzungumzia siyo tu kifo lakini pia juhudi za kumuokoa marehemu.
 
Nilichoona mpaka sasa ni hichi

something is very wrong....who has his phone?

Mallya alisema, baada ya ajali alipoteza fahamu, alipozinduka wanakijiji alikuwa tayari wameshafika katika eneo la tukio. Wakaanza kumsarch marehemu, alichukua laptop na mabegi yao pamoja na makorokoro mengine.

TVT na ITV alifika kwenye tukio, walionyesha mpaka Mallya alivyofika hospitali, wakati mallya anapelekwa huko, yani kitandani, Nesi alichukuwa Simu mbili, moja ni blackberry zile pana na ingine ni nokia zile za torchi kama sikosei, battery ilikuwa imetoka na pesa kama 50,000 hivyi zikiwa na damu.

Kuhusu simu ya Marehemu, sijui.............

Kitila.. tangu jana mara tu baada ya ajali nimekuwa nikiuliza maswali fulani na nimewauliza watu wengi kweli; na kati ya majibu ambayo hayakupatikana ni suala la muda. Sisemi nini chaweza kuwa kimetokea, lakini suala la muda ni muhimu sana kwani ndilo litaweza kujibu mara moja na daima kuwa hii ni ajali tu. Wasipojibu suala la muda, wamejichimbia shimo kubwa tu la maelezo. Ninaposema "wamejichimbia" sijui ni kina nani. Nitaanza kuyauliza maswali hayo hapa, na mwenye majibu anisaidie kutuliza udadisi wangu.

a. Nani alikuwa wa kwanza kufika eneo la ajali?

Kutokana na maelezo, wanakijiji ndio walikuwa wakwanza kufika, wakamtoa marehemu na kuanza kumsarchi.

Wanakijiji ndiyo walikuwa wa Kwanza Kufika Katika eneo la ajali.Hawa wanakijiji wa Pandambili.

b.Nani alikuwa akiendesha Gari?

Marehemu ndio alikuwa anaendesha gari

very good. hivyo aliweza kuwa na simu karibu baada ya ajali, usiku, katika eneo baada gari kurushwa "mita chache" na kusababisha kifo papo hapo... na aliweza kutolewa ndani ya hilo gari baada ya vibaka kufika kwanza ndani ya muda mfupi... kuna muda gani kati ajali na Polisi kufika?

Sijui, ila naona ni baada ya Mallya kupata fahamu

Waliiba nini hasa? Mbona abiria alipokea simu ya marehemu ilipopigwa? Au simu haikuibwa?

Mallya ametamka kwamba wameiba laptop mbili na mabegi yao, na vitu vingine vilivyokuwa kwenye gari.

so kama saa moja baadaye... Polisi walifika baada ya Mkuu wa Polisi kupata taarifa au kabla ya mkuu wa Polisi kupata taarifa?

Mkuu wa Mkoa amesema kwamba mkuu wa polisi alituma askari wa barabarani waliokuwa karibu na tukio, baadaye yeye ndio akaenda majira ya saa nne.
 
Kifo cha huyu Kamanda wa Tarime kimekuwa cha ghalfa na kinahuzunisha sana, lakini kinachanganya kwa namna fulani. Anyway, kwasababu sina data zozote wacha niwe msomaji huenda nikapata data nikaji-upgrade kuhusu nchi yetu inakwenda wapi. Nawapa pole zangu wote walioguswa kuanzia Familia, Marafiki, Chama chake (CHADEMA) hata wabunge na viongozi wa serikali lakini wale waliokuwa na nia nzuri naye.
 
Ushauri wa bure kwa Bw.Mbowe, asiende kushiriki mazishi. Maisha yake yanaweza yakawa hatarini maana sidhani kila mtu huko Tarime ataamini hayo ya ajali, hasa baada ya vurugu kati yao.


KJ,
Heshima mbele Mkuu wangu,

Je,umejaribu kujiuliza kama hataenda pia itapokelewa vipi na wana tTarime? Je una uhakika wafuasi wa hayati Wangwe hawatahisi kuna mkono wa Mbowe?
Offcourse,you mighty be right basing on your arguinment but different peole always perceives defferently
 
utata uko kwenye muda. Ninachojaribu kuzungumzia siyo tu kifo lakini pia juhudi za kumuokoa marehemu.

Ukiona picha ya gari huwezi amini kama kuna mtu anaweza kutoka hai. Labda marehemu alimalizwa baada ya ajali, WHO KNOWS? Eye Witness? Malya na Wanakijiji!

Mallya alifunga mkanda marehemu hakufunga. Kama nimesikia vizuri, Mallya ni dereva wa Marehemu!
 
utata uko kwenye muda. Ninachojaribu kuzungumzia siyo tu kifo lakini pia juhudi za kumuokoa marehemu.

Si unajua lakini jinsi nyumbani kulivyo....hivi unategemea kuwe na rescue efforts zozote za maana? hivi ukipiga 911 (au 999) kuna dispatcher kweli? given jinsi bongo kulivyo, sitegemei kuwepo na rescue efforts zozote!!!!!!
 
Mkuu wa Mkoa amesema kwamba mkuu wa polisi alituma askari wa barabarani waliokuwa karibu na tukio, baadaye yeye ndio akaenda majira ya saa nne.

ina maana mkuu wa Polisi alifika baada ya saa nne?

Mkuu Mwanakijiji,

Wangewahi kumuokoa mtu ambaye amekufa?
 
KJ,
Heshima mbele Mkuu wangu,

Je,umejaribu kujiuliza kama hataenda pia itapokelewa vipi na wana tTarime? Je una uhakika wafuasi wa hayati Wangwe hawatahisi kuna mkono wa Mbowe?
Offcourse,you mighty be right basing on your arguinment but different peole always perceives defferently

Slaa kasema, Mbowe yupo South Africa kikazi, anahairisha safari anarudi kesho asubuhi na atajumuika nao katika mazishi
 
Halafu kwa nini mnahoji kufika kwa polisi tu? Paramedics je? Au hatuna paramedics bongo....?Polisi hawako trained kuokoa maisha ya watu.....
 
Wana JF kuna haja ya kuanza kuchanga Rambirambi ili pesa ziwasilishwe kwa marehemu kama mchango wetu..

Invisible tupe Account number,au Kiongozi yeyote wa CHADEMA..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom