Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
Acha kusema sema sana, huwezi kujinasua eti hujawahi kupewa pesa wakati huko uliko Cape umeenda kwa nguvu za huyo huyo RA, na hili ndio tatizo la vijana wetu kuwa hawataki kusema ukweli kwa masilahi ya taifa ila wanasema kujiridhisha wao binafsi.

Mhhh, makubwa haya.........
 
Hivi wewe asee Mushi ni chama gani???????

Kama unajuwa KUSOMA...Then una jibu.

MIMI NI MTU HURU!

GET IT!

NA KAMA KUNA WANANCHI WASIOJUWA KUWA UNAWEZA KUWA HURU BILA CHAMA...THEN WAJUWE SASA.
 
Hapa kuna matatizo mawili ambayo jamii imeya-overlook!
1. Kama Mr. Mallya ni jasusi kama anavyodaiwa, that means ni mtumishi wa Jamhuri!
Na kama hii theory ni kweli so far, je, alifanya tendo hili chafu kwa maelekezo halali ya " "Jamhuri" au ni " Rogue Operation"?
Na kama ni mtumishi wa Jamhuri na ametumiwa na kundi fulani kufanya assasination ya kiongozi mkubwa wa Chama cha Upinzani na Mbunge wa Jamhuri ya Muungano, then hii ni skendo ya nguvu, na inaihataji Investigation ya hali ya juu!

2. Kama jamaa ni jasusi anayemilikiwa na serikali, basi jamaa inabidi wafanye review ya mitaala yao, maana so far ni kichekesho. Hebu tufanye assumption kwamba jamaa alikuwa kwenye Espionage Operation mahala popote ng'ambo ambayo ni kwa manufaa ya taifa letu au kama ingekuwa ni wakati wa vita, ina maana jamaa angekamatwa na documents zake zote, simu pamoja na funguo wa gari mkononi? Mshkaji ameshindwa hata "kuzimia" kwa muda.. au hata kuwa INSANE tu kwa ajili ya cover? Hata movie za Hollywood hawafanyi makosa ya kitoto kama hayo!
Kwa uzembe na jinsi alivyoacha evidences ambazo serious investigator yeyote anaweza ku-trace kila kitu.. huyu jamaa si Jasusi. Na kama "Janitors wa Mbuyuni" wanaweza kufanya makosa ya kizembe kama haya basi taifa liko kwenye serious trouble. So far, mimi binafsi nikimtazama Bw. Mallya sioni sifa za trained jasusi aliyefuzu mafunzo ya hali ya juu kama Viongozi wetu wa vyama vya siasa walivyodai.
Kama kifo hiki ni assasination, basi assasin ni mtu mwingine, na Mr Mallya ni accomplice aliyeachwa eneo la tukio na maelezo ya cover-up, lakini bahati mbaya amechemsha!
 
Gembe mimi nimerudi kwasababu yako maana nimeshatapika MARA MBILI kwasababu yako!
Na ili nisiendelee KUTAPIKA...Itanibidi niache kusoma jf...Na nikiacha kusoma jf nitasoma nini?
Majira?

Nini kinakutapisha tena ? Nimeshindwa kukuelewa unaposema kuwa umeshatapika mara mbili ,kuna kitu gani?
 
swala hili linazidi kuwa tata mno, habari nilizozipata punde zinaeleza pia kuwa Marehemu alioa mke wa mtu, huyo Mariam (Mke mdogo)alikuwa mke wa mwarabu mmoja Tabora anaetoka kwenye familia Tajiri, huyo mariam alikuwa akiendesha Hotel moja maarufu Mjini Tabora iliuyoitwa Bambino Hotel inayotazama na TMP book shop kwa sasa ni Meyor Hotel, mumewe na Mariam kwa wakati nadhani hadi sasa alikuwa akijishughulisha na biashara ya kuuza mashine za kusaga na spea zake, nazidi kuthibitishiwa kuwa mtu yeyote alikuwepo Tabora miaka minne mitano iliyopita anamfahamu vizuri Mariam Bambino kama mke wa mwarabu aliyezaa nae watoto nadhani watatu wenye wajihi wa kiarabu kabisa tofauti na mtoto aliyezaa na wangwe kwa sasa( pure black) nadhani si vibaya pia tukiendelea kuutazama upande wa pili wa shilingi kama Mwarabu aliponyang'anywa mke na marehemu Wangwe alifurahia au la. lastly, this is not uzushi coz mariam amekuwa maarufu sana Tabora kwa ku tengeneza chakula cha sherehe, keki n.k

Tunaomba mazingira hayo ya kunyang'anywa mke kwa mwarabu.
Kwani RA si mwarabu?
Sasa marehemu na yeye kama alikuwa akitumia akili...Ni mchangamano gani tena huu?
Kama huyu Miriam ni mke wa KATI...Basi ni yeye aliyemkaribisha Deus Mally kwasababu anajuwana na RA.
Sasa kweli kazi ipo...TENA KUBWA SANA...Na kabla mambo hayajendelea hivi...Ni muhimu tukajiuliza kama tuendelee na mijadala hii ama la!
Maaana ni juzi tu ilikuwa ukabila wa Wangwe na wachagga...Sasa ni waarabu vs wakristo...Ama wasilam vs wakristo..Ni lazima mjadala utaelekea huko.
 
Mkuu Gembe vp unamtapisha nini tena JMushi mpiganaji asiye choka???????
 
Unaweza ukaandika na ukajijibu na kujisifia wewe mwenyewe?
 
Hapa kuna matatizo mawili ambayo jamii imeya-overlook!
1. Kama Mr. Mallya ni jasusi kama anavyodaiwa, that means ni mtumishi wa Jamhuri!
Na kama hii theory ni kweli so far, je, alifanya tendo hili chafu kwa maelekezo halali ya " "Jamhuri" au ni " Rogue Operation"?
Na kama ni mtumishi wa Jamhuri na ametumiwa na kundi fulani kufanya assasination ya kiongozi mkubwa wa Chama cha Upinzani na Mbunge wa Jamhuri ya Muungano, then hii ni skendo ya nguvu, na inaihataji Investigation ya hali ya juu!

2. Kama jamaa ni jasusi anayemilikiwa na serikali, basi jamaa inabidi wafanye review ya mitaala yao, maana so far ni kichekesho. Hebu tufanye assumption kwamba jamaa alikuwa kwenye Espionage Operation mahala popote ng'ambo ambayo ni kwa manufaa ya taifa letu au kama ingekuwa ni wakati wa vita, ina maana jamaa angekamatwa na documents zake zote, simu pamoja na funguo wa gari mkononi? Mshkaji ameshindwa hata "kuzimia" kwa muda.. au hata kuwa INSANE tu kwa ajili ya cover? Hata movie za Hollywood hawafanyi makosa ya kitoto kama hayo!
Kwa uzembe na jinsi alivyoacha evidences ambazo serious investigator yeyote anaweza ku-trace kila kitu.. huyu jamaa si Jasusi. Na kama "Janitors wa Mbuyuni" wanaweza kufanya makosa ya kizembe kama haya basi taifa liko kwenye serious trouble. So far, mimi binafsi nikimtazama Bw. Mallya sioni sifa za trained jasusi aliyefuzu mafunzo ya hali ya juu kama Viongozi wetu wa vyama vya siasa walivyodai.
Kama kifo hiki ni assasination, basi assasin ni mtu mwingine, na Mr Mallya ni accomplice aliyeachwa eneo la tukio na maelezo ya cover-up, lakini bahati mbaya amechemsha!

Licha ya kwamba sikuelezea pointi yangu huko nyuma kwa namna uliyofanya wewe..Lakini mawazo haya ni sawa kabisa na yale niliyonayo kwenye issue hii....Na ni mawazo ambayo nilishawahi kuyatowa huko nyuma...Na kweli ndio maana Taifa letu limeingiliwa na KUUZWA!

Mimi naona kuna agent aliyechemsha either kum malizia kijana aliyebaki kwa bastola ile iliyokuwa pale ama kulipuliwa kwa gari....Ili kumalizia mbali traces za ushahidi ama hata mahali pa kuanzia.

Naona labda gari la pili lilichelewa kusimama na kurudi haraka ili agent wa mwisho aje kumalizia kazi.

Naona hata yule aliyesema kuhusu pesa za marehemu kwenye mfuko alikuwa ni agent wa pili kwenye gari jingine ambaye alichelewa hadi wanakijiji wakawasili kwani inavyoonekana kwenye picha, haiwezi kuchukua zaidi ya dakika moja toka kwenye nyumba za wanakijiji hadi kwenye gari lilipoangukia...Na ndio maana yule babu mwanakijiji aliweza kuwatowa nishai....Walishindwa kumchukuwa kijana kwani kuna ushahidi kuwa aliondoka na marehemu Wangwe nyumbani....Na hivyo kumchukuwa toka kwenye eneo ilikuwa ngumu...Nadhani dili lilikuwa ni kumuuwa kijana pia...Kwasababu kusema ukweli kama kijana angekufa..Basi ni kweli ingekuwa ajali...Na ajali moto ukishawaka na kuwachoma wote...Sidhani kama issue ingekuwa mambo ya matone ya damu ama nani aliendesha gari..Ama hata nani alimtuma kijana na kwanini alipiga simu zote hizo!
Kijana alipiga hizo simu maana naona hakujuwa dili lote kuwa yeye na wangwe walikuwa wafe!

Yeye inawezekana alijuwa kazi yake ni kumpindua na gari ama kumpeleka Dar.
Na pia walisahahu BASTOLA.

Kweli hao kama ni wanausalam basi hata Taifa letu tayari halina viongozi.
 
jmushi ......dont jump to conclusion.
kwani huyo alokuwa mume wa maryam umeambiwa ana uhusiano na RA? au kila Muarabu ana uhusiano na RA?

na hata ikiwa, hakuna sehemu inayosema kuwa huyo mke Maryam ndiye aliyemkaribisha Malyya.

un less proven otherwise, kwa maelezo yaliyotolewa sasa hayamhusishi Maryam na Mallya bado.
 
...Ni muhimu tukajiuliza kama tuendelee na mijadala hii ama la!
Maaana ni juzi tu ilikuwa ukabila wa Wangwe na wachagga...Sasa ni waarabu vs wakristo...Ama wasilam vs wakristo..Ni lazima mjadala utaelekea huko.

...moderators na Mw' Mungu watatuepushia hilo.

Amen
 
Nini kinakutapisha tena ? Nimeshindwa kukuelewa unaposema kuwa umeshatapika mara mbili ,kuna kitu gani?

KAMA HIZI SIASA ZETU HAZIKUTII KICHEFU CHEFU BASI NA WEWE UNA LAKO JAMBO.
Kwanza kamwulize Mnyika kama ni kipi kilichopelekea kumwandikia message RA kuwa yeye ni FISADI kama si siasa tu!
 
Kwa mfano hapo juu...Gembe wa RA amekubaliana na Kieleweke wa Chadema kuwa hakuna siasa za kichefu chefu...NA NDIO MAANA NASEMA NILITAPIKA....HONESTLY!
Kuna watu wenye nia mbaya na TAIFA ambao wako chadema na ccm na wanashirikiana nyuma ya PAZIA kwa kigezo butu cha usalama wa MAFISADI.
 
Mushi,
Hili la uarabu wa mke wa marehemu kulihusisha na uarabu wa mume aliyeachana naye sidhani kama ni issue. Binafsi nashindwa kuamini kuwa huyu Mariam alikuwa hafahamiani na huyu Malya. Mariam ndiye mke aliyekuwa karibu na marehemu, na kwa mujibu wa kijana mkubwa wa marehemu kuwa Malya alikuwa akifanya kazi fulani na marehemu, bila shaka Mariam anaifahamu hiyo kazi waliyokuwa wakiifanya kwa ubia. Huyu mama anafahamu mengi sana tatizo ni kuwa, akitakiwa kueleza yote anayoyafahamu atakuwa tayari? Naanza kuhofia usalama wake.
 
Nini kinakutapisha tena ? Nimeshindwa kukuelewa unaposema kuwa umeshatapika mara mbili ,kuna kitu gani?

Halafu eti wewe ni KIONGOZI MZURI WA chadema...MNA KAZI....!
Mtenenge huo....MAHESABU HUWA ANAWAPIGA VIJEMBE...HUWA AKISEMA...."RASKAZONE HIYO"
Mpo?
Mlipewa ushauri mkagoma...MLINYWE!
KWANI MLILIKOROGA!
Mwishowe tutapa watu wenye nia nzuri na TAIFA!
 
Kiranja,

Nadhani wewe ni kiranaja wa sehemu ulipo,suala la mimi kulipiwa na mtu yeyote ambaye ni muajiri wangu wewe alikuhusu kabisa.

Kama una ugomvi na Kijana kuhama Mwananchi na kwenda RAI,is up to you lakini kaaa ukijua kila mtu anatafuta maisha na suala la kuhama gazeti moja kwenda lingine ni mpango wa mtu.

Kwanini unataka kila mtu aishi kama wewe utakavyo,hiyo ni tabia ya ubinafsi na watu wengi wenye tabia hiyo ni wachaga.Suala la kujitambulisha mie halinihusu.
kwa nini uchanganye kabila zima kwa ajili ya kasoro ya mtu mmoja? kama damu itamwagika nchi hii kwa ajili ya vita ya kikabila, basi mwanzilishi na mfadhili wa hii vita ni rostam azizi kupitia magazeti yake ya new habari corporation, na fedha za wizi alizoiba. pia kupitia vikaragosi kama wewe na akina balile
 
Alipofariki Wangwe nilichangia katika thread iliyohusu kifo chake kwa kuandika misitari miwili tu, na baada ya hapo sikuchangia tena kwa sababu my gut feeling was telling me that the man was assassinated!

Mistari miwili pekee niliyochangia katika kifo cha Marehemu Wangwe ni hii hapa na baada ya hapo nilifumba mdomo wangu:

1. RIP Wangwe.

2. Police should thoroughly investigate the cause of the accident.


Kutokana na hali inavyoendelea, ambapo sisiem na chadema wanaonekana kutoa kauli mbalimbali za ama kuchafuana au kujisafisha, ninalazimika kusema kitu kimoja tu nacho ni kwamba: kama ni kweli kwamba kifo cha wangwe kina mkono wa mtu basi huo mkono lazima uwe umetoka ama csiemu au chademo. Na ndomaana wanatumia muda mwingi kujisafisha na kuchafuana.

Nataka nimalizie kwa kusema hivi: Kujisafisha au kuchafuana kunakoendelea, kuhusiana na kifo cha Wangwe ni kazi bure! Kwani it is just the matter of time before tanzanians can know what real is behind Wangwe's death or assassination if proved! Kila kitu kitakuwa wazi. Tusubili muda, ukifika either csiemu or chadema wataumbuka. Believe me they won't get away with it! Hakika Mungu atawaumbua!

RIP Wangwe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom