Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 20,028
- 16,150
Alikula sumu?!Ni mbwa wangu kipenzi
Alikula sumu?!Ni mbwa wangu kipenzi
Mbwa ana mapenzi ya kweli kwa binadamu kuliko hata baadhi ya binadamu...Ungeambiwa uchague kimoja, kati ya chiwawa, wewe au ndugu yako wa karibu; ungechagua nani atangulie?
Mmbwa dume hayuko loyal kama wa kike me nimefuga wakike ila kipindi cha kupandwa hizo dume zinavojaa hapaPole Sana Kaka .
Wakati una msiba wa mbwa wako ni wakati ambao mbwa wangu ameondoka nyumbani yapata mwezi Sasa Yuko kwa jirani alifuata wanawake nikipiga ananiangalia Kama hakuwahi kuniona yaani inaumiza Sana ,Hawa wanyama waliletwa duniani kututesa tu
Mkuu nimempa vyote nilivyonavyo ila siku yake ilifika😭😭😭Sura yake inaonesha hakua na furaha kabisa
Kwann hukumpa dawa za minyoo kwa wakati
Haaaa!Huyu jamaa amekufa?Alikuwa mshikaji wetu sana huyu.Eniwei,RIP lili chihuahua!🙏😎RIP 😭😭😭Mameen
View attachment 3148906
Pole sana mkuu.Haya maumivu haya mkuti mbuzi
Sikia tu kwa wengine
Wewe bolt kichwani zishaingua kitambo sanaNchi za Magharibi, wanavyovipenda hivyo vijibwa ni wanawake na mashoga. Sielewi kwanini.
Ukiona mwanamme anakitembeza njiani au kipo ndani ya gari lake unajuwa kuwa hili shoga.
Nakuja pmLete Hele kidogo nikupe huyu Ana miez 9
View attachment 3149144
Mkuu nishamzika mimi na ndugu zanguVp tunazika au tunasafirisha
Alale pema peponi KAMANDAHaaaa!Huyu jamaa amekufa?Alikuwa mshikaji wetu sana huyu.Eniwei,RIP lili chihuahua!🙏😎
Alale pema KAMANDA😭😭😭Tatizo limeanzia hapo kwenye "mbele yetu,nyuma yako" hebu ipange upya hiyo sentensi
Nimelia sana
Thibitisha kuwa kuruani ni miongozo yamuumba
Quran ni riwaya kama ilivyo Takadini n.k
Kama vipi tuungane tusahau maumivu MkuuPumzika salama chihuahua.Mie wa kwangu alikufa mwaka jana kwa Tezi dume.Hadi leo sija heal..Simba wangu nakukumbuka sana😪