Young fadson
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 1,196
- 1,427
Unafiwa na kitu unaumia? Vp kwa anaefiwa na mtu afanyeje...
Habari wanajf ,
Swala hili la kikatili la kufiwa na kitu nipendacho maishani mwangu.
Nimeamini kweli kifo hakichagui cheo,rangi wala pesa.
Kiumbe hicho nilikipenda sana tena sana
RIP CHIWAWA 🙏
Mbele yetu nyuma yako