Kidono/Kinkuti ni kitu gani?

Kidono/Kinkuti ni kitu gani?

Kaka mi ninavyo vyote nisaidieni namna ya kuondokana navyo wakuu.

Sio siri hua unafikia wakati mie najiogopa aseee, hua nikifika ugenini najikuta nakua mnyonge, sijichanganyi mahala panapoweza kunipa changamoto, yamenifanywa nikaachishwa mafunzo ya jeshi nateseka sana
Si uvunje masharti tu
 
Kidono ni Dawa ambayo imetengenezwa kwa mchanganyiko wa vitu mbalimbali (sitavitaja hapa) . Inaweza kukukinga na kitu chenyekuweza kujeruhi eg. Upanga, kisu, rungu, fimbo, chupa n.k.
Kidono kimetofautiana kidogo. Kuna ambacho unachanjwa kwa wembe au Majani makali na Kidono cha kunywa na soda. Ukichanjwa kwa wembe ni wembe pekee utakao weza kukukata lkn ukichanjwa kwa kutumia jani huwezi kujeruhiwa na kitu.
Wanakuchanja ukiwa umekalia baadhi ya vitu vinavyoweza kjeruhi. Pia ukipata kilicho imara hata risasi haiingii mwilini.

KINKUTI.
Hii ni dawa inayoweza kukupatia nguvu za ziada katika kupambana. Ukichanja kinkuti unauwezo wa kuumka mwili wako na ukawa unauwezo wa kupiga hata wanajeshi 100. Hua hakituliziki kirahisi.

MASHARITI YAKE.
Ukiwa na kidono ukijikata au kujipiga na kitu utaumia. Pia ukimruhusu mtu akupige utaumia.
KINKUTI kinafanya kazi mpaka ukiwa na hasira za kuchokozwa ukichokza basi hakifanyi kazi.
Vyote hivyo vinapatikana Kigoma na Congo
Naona unafanya promo watu waanze kufurika kwenda huko Kigoma na Congo kupata tiba ya kidono kama walivyoenda Loliondo kwa babu
 
Subiri nikipata muda nitaanzisha Uzi wangu mwenyewe,ila sintogusia kiundan zaid isipokuwa nitaweka faida zake na hasara.Elimu hii niliipata toka kwa mkongomani alieitwa Kisimba!Huyu mzee alikuwa hatari sana!Usijali mkuu sisi ndio vijana wa ujiji,kabondo,majengo,rubuga nk ndio pande zetu za kujidai.
We ni mjukuu Wa biti likungu ?!
 
Kidono ni Dawa ambayo imetengenezwa kwa mchanganyiko wa vitu mbalimbali (sitavitaja hapa) . Inaweza kukukinga na kitu chenyekuweza kujeruhi eg. Upanga, kisu, rungu, fimbo, chupa n.k.
Kidono kimetofautiana kidogo. Kuna ambacho unachanjwa kwa wembe au Majani makali na Kidono cha kunywa na soda. Ukichanjwa kwa wembe ni wembe pekee utakao weza kukukata lkn ukichanjwa kwa kutumia jani huwezi kujeruhiwa na kitu.
Wanakuchanja ukiwa umekalia baadhi ya vitu vinavyoweza kjeruhi. Pia ukipata kilicho imara hata risasi haiingii mwilini.

KINKUTI.
Hii ni dawa inayoweza kukupatia nguvu za ziada katika kupambana. Ukichanja kinkuti unauwezo wa kuumka mwili wako na ukawa unauwezo wa kupiga hata wanajeshi 100. Hua hakituliziki kirahisi.

MASHARITI YAKE.
Ukiwa na kidono ukijikata au kujipiga na kitu utaumia. Pia ukimruhusu mtu akupige utaumia.
KINKUTI kinafanya kazi mpaka ukiwa na hasira za kuchokozwa ukichokza basi hakifanyi kazi.
Vyote hivyo vinapatikana Kigoma na Congo
Wewe bila shaka unatokea Kigoma
 
Drln naomba unipeleke nikachanjiwe walah tena.maana mimi mtu akinichokoza,kama nikimjibu nimemheshimu ,nikikaa kimya nimemdharau lkni roho yangu huwa inaniuma sana na kupatwa na hasira mpka natetemeka yani..

Wakati mwingine natamani kumtwanga mtu vitasa lkni ndo hvyo naogopa naweza nikadundwa mimi..aaaa yan stress tupu
Ze comedy show
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom