Kidono/Kinkuti ni kitu gani?

Kidono/Kinkuti ni kitu gani?

Mkuu kidono ni nzuri
Kwa mfano nikiwa vitani na nimechanjia risasi haitaingia na nitaipataje.!?
Thubutu. Utachapika hadi uchakae. Hayo mambo yanafanya kazi kwa mazingira ya kichawi tu. Kwenye sayansi wanafubaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom