Kidono/Kinkuti ni kitu gani?

Kidono/Kinkuti ni kitu gani?

Serikali haiamini uganga na Uchawi.
Ila wnajeshi wenyewe ndio huwatafuta waganga wawape hizo dawa. Mm nishashuhulikia wanajeshi zaidi ya watano kwa dawa hizo.
Mkuu nikuulize kama hizi dawa zinasaidia kivipi huko congo wale waasi wa maimai ambao ukiwapiga risasi zinageuka maji wakikutana na wanajeshi wa kizungu risasi zinapenya kama kawa??? Au uchawi una limits/ uchawi wa wazungu umezidi wa waafrika??

Pia nilisikia askari wa hitler walikuwa na uwezo huo pia wa kupigwa risasi isiwadhuru unless umkate kichwa..... Ina maana nao walitumia hizi chanjo za asili???

Hii dunia ina mambo
 
Kidono ni Dawa ambayo imetengenezwa kwa mchanganyiko wa vitu mbalimbali (sitavitaja hapa) . Inaweza kukukinga na kitu chenyekuweza kujeruhi eg. Upanga, kisu, rungu, fimbo, chupa n.k.
Kidono kimetofautiana kidogo. Kuna ambacho unachanjwa kwa wembe au Majani makali na Kidono cha kunywa na soda. Ukichanjwa kwa wembe ni wembe pekee utakao weza kukukata lkn ukichanjwa kwa kutumia jani huwezi kujeruhiwa na kitu.
Wanakuchanja ukiwa umekalia baadhi ya vitu vinavyoweza kjeruhi. Pia ukipata kilicho imara hata risasi haiingii mwilini.

KINKUTI.
Hii ni dawa inayoweza kukupatia nguvu za ziada katika kupambana. Ukichanja kinkuti unauwezo wa kuumka mwili wako na ukawa unauwezo wa kupiga hata wanajeshi 100. Hua hakituliziki kirahisi.

MASHARITI YAKE.
Ukiwa na kidono ukijikata au kujipiga na kitu utaumia. Pia ukimruhusu mtu akupige utaumia.
KINKUTI kinafanya kazi mpaka ukiwa na hasira za kuchokozwa ukichokza basi hakifanyi kazi.
Vyote hivyo vinapatikana Kigoma na Congo
Son
tuweke tangazo la kuuza kidono kinkuti!
AHAHAHAHAHAHHA umetisha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom