Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Ndio alikuwa kazuramimba,Mkuu huyo mtu kwebye red alikua anaishi kazuramimba?


Chakorii mpenz umepaona nyumbani??



Kwa kifupi hii ni sayansi asilia yenye jina almaarufu 'UCHAWI'.Kidono ni Dawa ambayo imetengenezwa kwa mchanganyiko wa vitu mbalimbali (sitavitaja hapa) . Inaweza kukukinga na kitu chenyekuweza kujeruhi eg. Upanga, kisu, rungu, fimbo, chupa n.k.
Kidono kimetofautiana kidogo. Kuna ambacho unachanjwa kwa wembe au Majani makali na Kidono cha kunywa na soda. Ukichanjwa kwa wembe ni wembe pekee utakao weza kukukata lkn ukichanjwa kwa kutumia jani huwezi kujeruhiwa na kitu.
Wanakuchanja ukiwa umekalia baadhi ya vitu vinavyoweza kjeruhi. Pia ukipata kilicho imara hata risasi haiingii mwilini.
KINKUTI.
Hii ni dawa inayoweza kukupatia nguvu za ziada katika kupambana. Ukichanja kinkuti unauwezo wa kuumka mwili wako na ukawa unauwezo wa kupiga hata wanajeshi 100. Hua hakituliziki kirahisi.
MASHARITI YAKE.
Ukiwa na kidono ukijikata au kujipiga na kitu utaumia. Pia ukimruhusu mtu akupige utaumia.
KINKUTI kinafanya kazi mpaka ukiwa na hasira za kuchokozwa ukichokza basi hakifanyi kazi.
Vyote hivyo vinapatikana Kigoma na Congo
Uchawi ni nini mkuu?Kwa kifupi hii ni sayansi asilia yenye jina almaarufu 'UCHAWI'.
Baba yangu yule.Ndio alikuwa kazuramimba,
Barabara ya pili ile mitaa ya wanywa gongo kwa wafipa, ila ameshafariki!
Alikuwa noma sana jamaa yule!
Vijana wa kazuramimba tunamjua vizuri sana mkuu![]()
Unatakaje au mpaka ushuhudie.Mmmmh mimi Tomaso!
hayo unayofundisha!..Uchawi ni nini mkuu?
Nipe maana ya uchawihayo unayofundisha!..
Hapo umenena mkuu wangine wanahisi humu tunadanganya tu ila iko hivyo. Trick za kulogoloa hizo dawa watalaam tunazijua so kama mtu anakua anatumia dawa hizo kinyume baaasi tunajua tumfanyajeIlitokea mwaka 2003/2004 huko mwambao wa ziwa tanganyika eneo la ikola mpanda mpakani na kongo walikamatwa majambazi wakawa wamevuliwa nguo zote na wajeshi wetu.
Mmoja kati yao risasi ilipigwa ikawa haifanyi kitu katokea kamanda mwingine pale pale alikuwa mngoni akasema nipe mashine nikuoneshe kazi.
Aliinua bunduki juu kama anapiga hewani then akaipitisha chini miguuni mwake kwa style aliyojua yeye alimtwanga yule jambazi kinyuma nyuma bila kumuona na risasi likamlenga akafa pale pale.
Wajeshi wengi wanajua kuwazindua na wakapigwa tu. Dunia duara.
Nipe maana ya uchawi
HuhuhuhuhuUganga wa warundi
Broooo unafikiri vzuriii sana... ni kwelo kabsaaaMambo ya Kinjekitile Ngwale haya, kulaleki nyama hii ya binadamu panga lisipenye![]()
Ahsante mkuuu.Al Azhari ambaye ni mtungaji wa kamusi maarafu ya kiarabu iitwayo LisanulArab amesema Neno “Uchawi”, kwa kiarabu “As Sihr”, maana yake ni kitendo cha kujikurubisha na shetani na kwa msaada wake (shetani)”, na akasema pia kuwa; “Uchawi ni kulibadilisha jambo mbali na uhakika wake, nako nikuwadhihirishia watu jambo lisilo la kweli wakaliona kuwa ni la kweli..
Ama Sahaba Ibni Abbas (Rauídhiya Llaahu ‘anhu) amesema:"Uchawi ni kuidhirisha batili katika sura ya haki."..
Hayo ni katika kamusi za lugha. Amma katika kamusi ya dini, maana ya neno Uchawi (AsSihr), kama alivyofasiri Mwanachuoni mkubwaFakhruddin Al Razi kuwa; " Ni kila jambo lililofichika sababu zake, linalotokeza kwa sababu zisizo za kawaida na ndani yake mnahadaa (khidaa)"..
kwa hisani ya google na ndugu zetu wataalamu wa kiiwaislamu.
UCHAWI:1 NINI MAANA YA UCHAWI? | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today[/U]
kama ulivoniuliza nilipotumia neno uchawi naomba nielezee uganga ni nini?Ahsante mkuuu.
Nijibu maswali haya.
Unaweza kunithibitishia wapi nimeongelea au kuonyesha uchawi?
Nini tofauti kati ya uchawi na uganga?
Nipe historia ya uchawi ulianzaje.
Mkuu mimi ndio nimeanza kukuuliza sasa mbona unanigeuzia ubao mmkama ulivoniuliza nilipotumia neno uchawi naomba nielezee uganga ni nini?
sababu umelitumia hilo neno wewe!..nimetumia uchawi na nikakujibu.Mkuu mimi ndio nimeanza kukuuliza sasa mbona unanigeuzia ubao mm
Mbona mimi sijawahi kushuhudia haya maajabu..Huo ndio ubaya wake.
Kuna ile ukichukia unaumka halafu miguu inatitia ardhini mbaya sana hiyo unaweza kuta umeua watu wote.