AiseeMkuu mimi nimeshuhudia, kusimuliwa pia kufundishwa hizo mambo sometimes ni mbaya sanah hasa ukizidisha aina ya dawa. Kuna zingine hutakiwi kukaa sehem zenye watu ikiwa full moon maana wengine hubadurika na kua viumbe vya ajabu.
AiseeMkuu mimi nimeshuhudia, kusimuliwa pia kufundishwa hizo mambo sometimes ni mbaya sanah hasa ukizidisha aina ya dawa. Kuna zingine hutakiwi kukaa sehem zenye watu ikiwa full moon maana wengine hubadurika na kua viumbe vya ajabu.
Mbona unaishi kinyume na maagizo ya mungu sasa? Bora uwe mganga tuNdio najua hakuna mtu atakayeweza nidhuru mie
Hapana mkuu ninafuata maagazi yake yote.Mbona unaishi kinyume na maagizo ya mungu sasa? Bora uwe mganga tu
Unaishi wap?Mbona mimi sijawahi kushuhudia haya maajabu..
Fundi huyoNina wasiwasi nae huyu mondray walah tena
KigamboniUnaishi wap?
Hata huku kigoma wengi hawayajui na hawajawahi yashuhudia.Kigamboni
Dawa ya kishiriina ya kuongeza nguvu na kuvuia kisu ama chochote chenye mcha Kali kisikutoboeNaombeni mnijulishe ....kidono/kinkuti ni kiti gani?
Utakuwa Edward/Eddu bila shaka.Baba yangu yule.


Hapana mm sio edu. Edu hata sijui yupo wap..yaani baba yangu alikua anamwita kisimba babu ndio maana ninamwita babaUtakuwa Edward/Eddu bila shaka.
Na utakuwa mjukuu wa mzee kubhoza/shehe mwekundu![]()
Hapo umenena mkuu wangine wanahisi humu tunadanganya tu ila iko hivyo. Trick za kulogoloa hizo dawa watalaam tunazijua so kama mtu anakua anatumia dawa hizo kinyume baaasi tunajua tumfanyaje

kulogoloa

Ila edu unamjua?Hapana mm sio edu. Edu hata sijui yupo wap..yaani baba yangu alikua anamwita kisimba babu ndio maana ninamwita baba
Ndio but sijui alipoIla edu unamjua?
Bila Shaka na ww utakuwa MTU Wa kigoma kama jibu ni ndio unatoka kgm sehemu gn?Ndio maana kigoma pakaitwa mwisho wa reli. Kila kitu kizuri kipo huko.
Mambo ya Kinjekitile Ngwale haya, kulaleki nyama hii ya binadamu panga lisipenye![]()
chezea kigoma wewee...Kuna jamaa alipigwa risasi mitaa ya mlole basi ikagonga pua ikaanguka chiniduh Enzi hizo mitaani ya kalinzI mkabogo kinazi au tusememe manyovu kwa ujumla Vijana wa huko walitisha sana kwa hayo mambo

Kuna tofauti ya kidono na kinguti.
Kinguti ndio hatar zaidi maana unaweza kua kwenye Full moon unabadirika mwili na kua kiumbe cha ajabu.
Kinguti kumuua ni ngumu mpaka umpatie sehem yake dhaifu.
hiyo Kali mugabo!!Hata mlole mAjengo na kilimahewaUnapafaham kibirizi. Gungu. Kichwere ndio wanaongoza kua na vitu hivyo.
Naona anAmsaidia mshana jrMondray we ni mganga kwan