Kidono/Kinkuti ni kitu gani?

Kidono/Kinkuti ni kitu gani?

Tanga kuna watu wa kigoma wengi waliopelekwa manamba (kukata mkonge) wakamua kuishi huko hao ndio waliopeleka hiyo taaluma
Hapo umenena mkuu mm niliwaambia mwanzo hilo.
Kigoma na tanga tunafana kuanzia vipaji hadi Utamaduni wa mambo ya asili.
 
Kidono ni Dawa ambayo imetengenezwa kwa mchanganyiko wa vitu mbalimbali (sitavitaja hapa) . Inaweza kukukinga na kitu chenyekuweza kujeruhi eg. Upanga, kisu, rungu, fimbo, chupa n.k.
Kidono kimetofautiana kidogo. Kuna ambacho unachanjwa kwa wembe au Majani makali na Kidono cha kunywa na soda. Ukichanjwa kwa wembe ni wembe pekee utakao weza kukukata lkn ukichanjwa kwa kutumia jani huwezi kujeruhiwa na kitu.
Wanakuchanja ukiwa umekalia baadhi ya vitu vinavyoweza kjeruhi. Pia ukipata kilicho imara hata risasi haiingii mwilini.

KINKUTI.
Hii ni dawa inayoweza kukupatia nguvu za ziada katika kupambana. Ukichanja kinkuti unauwezo wa kuumka mwili wako na ukawa unauwezo wa kupiga hata wanajeshi 100. Hua hakituliziki kirahisi.

MASHARITI YAKE.
Ukiwa na kidono ukijikata au kujipiga na kitu utaumia. Pia ukimruhusu mtu akupige utaumia.
KINKUTI kinafanya kazi mpaka ukiwa na hasira za kuchokozwa ukichokza basi hakifanyi kazi.
Vyote hivyo vinapatikana Kigoma na Congo

Drln naomba unipeleke nikachanjiwe walah tena.maana mimi mtu akinichokoza,kama nikimjibu nimemheshimu ,nikikaa kimya nimemdharau lkni roho yangu huwa inaniuma sana na kupatwa na hasira mpka natetemeka yani..

Wakati mwingine natamani kumtwanga mtu vitasa lkni ndo hvyo naogopa naweza nikadundwa mimi..aaaa yan stress tupu
 
Kidono ni Dawa ambayo imetengenezwa kwa mchanganyiko wa vitu mbalimbali (sitavitaja hapa) . Inaweza kukukinga na kitu chenyekuweza kujeruhi eg. Upanga, kisu, rungu, fimbo, chupa n.k.
Kidono kimetofautiana kidogo. Kuna ambacho unachanjwa kwa wembe au Majani makali na Kidono cha kunywa na soda. Ukichanjwa kwa wembe ni wembe pekee utakao weza kukukata lkn ukichanjwa kwa kutumia jani huwezi kujeruhiwa na kitu.
Wanakuchanja ukiwa umekalia baadhi ya vitu vinavyoweza kjeruhi. Pia ukipata kilicho imara hata risasi haiingii mwilini.

KINKUTI.
Hii ni dawa inayoweza kukupatia nguvu za ziada katika kupambana. Ukichanja kinkuti unauwezo wa kuumka mwili wako na ukawa unauwezo wa kupiga hata wanajeshi 100. Hua hakituliziki kirahisi.

MASHARITI YAKE.
Ukiwa na kidono ukijikata au kujipiga na kitu utaumia. Pia ukimruhusu mtu akupige utaumia.
KINKUTI kinafanya kazi mpaka ukiwa na hasira za kuchokozwa ukichokza basi hakifanyi kazi.
Vyote hivyo vinapatikana Kigoma na Congo
Sasa kama ni kweli kuna haja gani Wanajeshi wetu wapelekwe huko depo??kwa nini wasichanjwe tu kidono na Kinkut?? Hapo kwenye kupigwa risasi haingii muhhhh!!!Labda
 
Sasa kama ni kweli kuna haja gani Wanajeshi wetu wapelekwe huko depo??kwa nini wasichanjwe tu kidono na Kinkut?? Hapo kwenye kupigwa risasi haingii muhhhh!!!Labda
Serikali haiamini uganga na Uchawi.
Ila wnajeshi wenyewe ndio huwatafuta waganga wawape hizo dawa. Mm nishashuhulikia wanajeshi zaidi ya watano kwa dawa hizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom