Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,559
Karibu mkuu wala usijali.Naku pm mkuu
Karibu mkuu wala usijali.Naku pm mkuu
Hapo umenena mkuu mm niliwaambia mwanzo hilo.Tanga kuna watu wa kigoma wengi waliopelekwa manamba (kukata mkonge) wakamua kuishi huko hao ndio waliopeleka hiyo taaluma
Kidono ni Dawa ambayo imetengenezwa kwa mchanganyiko wa vitu mbalimbali (sitavitaja hapa) . Inaweza kukukinga na kitu chenyekuweza kujeruhi eg. Upanga, kisu, rungu, fimbo, chupa n.k.
Kidono kimetofautiana kidogo. Kuna ambacho unachanjwa kwa wembe au Majani makali na Kidono cha kunywa na soda. Ukichanjwa kwa wembe ni wembe pekee utakao weza kukukata lkn ukichanjwa kwa kutumia jani huwezi kujeruhiwa na kitu.
Wanakuchanja ukiwa umekalia baadhi ya vitu vinavyoweza kjeruhi. Pia ukipata kilicho imara hata risasi haiingii mwilini.
KINKUTI.
Hii ni dawa inayoweza kukupatia nguvu za ziada katika kupambana. Ukichanja kinkuti unauwezo wa kuumka mwili wako na ukawa unauwezo wa kupiga hata wanajeshi 100. Hua hakituliziki kirahisi.
MASHARITI YAKE.
Ukiwa na kidono ukijikata au kujipiga na kitu utaumia. Pia ukimruhusu mtu akupige utaumia.
KINKUTI kinafanya kazi mpaka ukiwa na hasira za kuchokozwa ukichokza basi hakifanyi kazi.
Vyote hivyo vinapatikana Kigoma na Congo


lkni ndo hvyo naogopa naweza nikadundwa mimi..aaaa yan stress tupuVidono vipo aina nyingi mkuu.
Ila ukifatilia hayo mambo sana waweza kuwa jambazi bure. Kuna ambazo kweli risasi haipiti.
Mm rafiki yangu anaweza kuuchana mti mbichi kwa kuuvuta tawi na tawi.






Kweli kabisa hapo umeeleweka vizuri.
Kunazingi ambazo mtu anapotea kabisa na bila kumfanyia mavitu hafi.
Mondray we ni mganga kwan
My love hazina gani tena kipenzi.Kumbe wew ni hazina eee..
My love hazina gani tena kipenzi.
Kwanini unawasiwasi na mm ma babyNina wasiwasi nae huyu mondray walah tena
Hapana mm sina ujuzi wowote mpenz niamini.Ya dawa za kienyeji.
Kwanini unawasiwasi na mm ma baby



Hapana ninabahatisha tu mm wala sio mganga.Mi nafikiri ilo ni jibu maana loh.si kwa kutiririka huko.
Yani kama huyu mondray si mganga basi hazina au makumbusho ya taifa ya dawa za kienyeji maana....
Niamini mm sio mganga ila nina hiyo elimu tu mpenz si unakumbuka siku ile nikupe ile issue ya tarehe yako.Sasa wew madaw yote hayo umeyajulia wapi kama wewe sio mganga!![]()
Hapana mm sina ujuzi wowote mpenz niamini.
Sasa kama ni kweli kuna haja gani Wanajeshi wetu wapelekwe huko depo??kwa nini wasichanjwe tu kidono na Kinkut?? Hapo kwenye kupigwa risasi haingii muhhhh!!!LabdaKidono ni Dawa ambayo imetengenezwa kwa mchanganyiko wa vitu mbalimbali (sitavitaja hapa) . Inaweza kukukinga na kitu chenyekuweza kujeruhi eg. Upanga, kisu, rungu, fimbo, chupa n.k.
Kidono kimetofautiana kidogo. Kuna ambacho unachanjwa kwa wembe au Majani makali na Kidono cha kunywa na soda. Ukichanjwa kwa wembe ni wembe pekee utakao weza kukukata lkn ukichanjwa kwa kutumia jani huwezi kujeruhiwa na kitu.
Wanakuchanja ukiwa umekalia baadhi ya vitu vinavyoweza kjeruhi. Pia ukipata kilicho imara hata risasi haiingii mwilini.
KINKUTI.
Hii ni dawa inayoweza kukupatia nguvu za ziada katika kupambana. Ukichanja kinkuti unauwezo wa kuumka mwili wako na ukawa unauwezo wa kupiga hata wanajeshi 100. Hua hakituliziki kirahisi.
MASHARITI YAKE.
Ukiwa na kidono ukijikata au kujipiga na kitu utaumia. Pia ukimruhusu mtu akupige utaumia.
KINKUTI kinafanya kazi mpaka ukiwa na hasira za kuchokozwa ukichokza basi hakifanyi kazi.
Vyote hivyo vinapatikana Kigoma na Congo
Najua dawa tu ila sio mganga mieItanichukua karne kuamin
Niamini mm sio mganga ila nina hiyo elimu tu mpenz si unakumbuka siku ile nikupe ile issue ya tarehe yako.
Najua dawa tu ila sio mganga mie
Serikali haiamini uganga na Uchawi.Sasa kama ni kweli kuna haja gani Wanajeshi wetu wapelekwe huko depo??kwa nini wasichanjwe tu kidono na Kinkut?? Hapo kwenye kupigwa risasi haingii muhhhh!!!Labda