20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,217
- 7,255
So unakula .maiishaa tuNdio
So unakula .maiishaa tuNdio
Ndio najua hakuna mtu atakayeweza nidhuru mieSo unakula .maiishaa tu
Hivi ni kweli ziligeuka maji ? Siyo kwamba ilikuwa ni propaganda ya Mtwa mkwawa kwa majeshi yake ili yaendelee na mapambano wasirudi nyuma hata kama mwenzao "kaonyesha ushujaa" ?Vita ya majimaji,wale walopakwa dawa wakaambiwa wakipigwa shaba na mjerumani zitageuka maji,wajerumani wakawa wanajipigia shaba.360 scope
Alikua kinjikitile nkwale.Hivi ni kweli ziligeuka maji ? Siyo kwamba ilikuwa ni propaganda mtwa mkwawa ya kwa majeshi yake ili yaendelee na mapambano wasirudi nyuma hata kama mwenzao "kaonyesha ushujaa" ?
Vyote ninauwezo navyo..Ila nimekoma kutoa huduma hii!Hiki si kidono.
Tupe uzoefu wako mkuu maana jina tu linaonyesha naww ni wakwetu.Vyote ninauwezo navyo..Ila nimekoma kutoa huduma hii!
Subiri nikipata muda nitaanzisha Uzi wangu mwenyewe,ila sintogusia kiundan zaid isipokuwa nitaweka faida zake na hasara.Elimu hii niliipata toka kwa mkongomani alieitwa Kisimba!Huyu mzee alikuwa hatari sana!Usijali mkuu sisi ndio vijana wa ujiji,kabondo,majengo,rubuga nk ndio pande zetu za kujidai.Tupe uzoefu wako mkuu maana jina tu linaonyesha naww ni wakwetu.
Tupe elimu boss
Mkuu huyo mtu kwebye red alikua anaishi kazuramimba?Subiri nikipata muda nitaanzisha Uzi wangu mwenyewe,ila sintogusia kiundan zaid isipokuwa nitaweka faida zake na hasara.Elimu hii niliipata toka kwa mkongomani alieitwa kisimba!Huyu mzee alikuwa hatari sana!Usijali mkuu sisi ndio vijana wa ujiji,kabondo,majengo,rubuga nk ndio pande zetu za kujidai.
Hahahaha, unenichekesha , nadhanKidono + Kinkuti = Immortal
Kwakipindi lile nilikutana nae akiwa ndio anatoka congo rasmi!cjui labda tulipopoteana miaka kadhaa huenda alibadilisha makazi.Mkuu huyo mtu kwebye red alikua anaishi kazuramimba?
hivi mnavyosema anageuka kuwa mtu wa ajabu ni kama werewolf au ?Nilimchanja mdogo wangu Dawa ya kinguti ikiwa ni kama sehemu ya majaribio. Aisee DOGO alinigeuzia kibao cku moja dah.siwezi kusahau.
Mm ninaye mfahamu kafariki 2012Kwakipindi lile nilikutana nae akiwa ndio anatoka congo rasmi!cjui labda tulipopoteana miaka kadhaa huenda alibadilisha makazi.
Me nilimuacha kigoma ujiji.
Sehenu flani inaitwa kazaroho.
Nyerere tu anatupigia salute.Ndio maana kuna mwanasiasa aliapa kuteketeza mpaka panya!!!!!
Anatoka pande za kugoma.
Kama vile hulk anaumka mwili halafu anakua sio yy. Hajitambuihivi mnavyosema anageuka kuwa mtu wa ajabu ni kama werewolf au ?
Mshana nakuvulia kofiaNi mojawapo ya malighafi ya kutengenezea kidono, kidono hakina tofauti na kuchanjia muku
Nakuogopa ujueNiliambiwa nisingekuwa na mfupa mmoja ingekuwa rahisi sasa vina uhusiano gani na huu mfupa wakuu
# mshana jr na mondray
Kaka mi ninavyo vyote nisaidieni namna ya kuondokana navyo wakuu.
Sio siri hua unafikia wakati mie najiogopa aseee, hua nikifika ugenini najikuta nakua mnyonge, sijichanganyi mahala panapoweza kunipa changamoto, yamenifanywa nikaachishwa mafunzo ya jeshi nateseka sana