snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,320
Shikamoo mwanangu!Serikali haiamini uganga na Uchawi.
Ila wnajeshi wenyewe ndio huwatafuta waganga wawape hizo dawa. Mm nishashuhulikia wanajeshi zaidi ya watano kwa dawa hizo.
Shikamoo mwanangu!Serikali haiamini uganga na Uchawi.
Ila wnajeshi wenyewe ndio huwatafuta waganga wawape hizo dawa. Mm nishashuhulikia wanajeshi zaidi ya watano kwa dawa hizo.
Unanitakia laana hapaShikamoo mwanangu!
Hapana nimebase kwenye +ve energy/God tu kipindi hiki. Mambo hayo sitaki hata kuelezea tenaSon
tuweke tangazo la kuuza kidono kinkuti!
AHAHAHAHAHAHHA umetisha!
uchagani mtoto akiwa na hela anaamkiwa.Unanitakia laana hapa
ahahahhahaha not bad knowing though!Hapana nimebase kwenye +ve energy/God tu kipindi hiki. Mambo hayo sitaki hata kuelezea tena
Kwetu waha haipo hivo mama..uchagani mtoto akiwa na hela anaamkiwa.
sasa hii knowledge ulikuwa unashuka hapa!
aseee!
imebidi tu nikuamkie!
Purukushani za kuchimba dawa sizitak mie kuna vingi vya kufanya. Itabak kama elimu tu niliyonayo upande wa ugangaahahahhahaha not bad knowing though!
bado inabaki kuwa sayansi ambayo wengine wanatumia kuishi positively!
AINT THAT BAD IWAPO HUITUMII KUMDHURU MTU!
Hafi kirahisi lakini si anaumia na anatokwa na damuSijasema kuwa wakigoma ndio majambazi,ila chanjo hz waganga wa kigoma ndio wataalam sana ,lengo ni kutoa Kinga kwa watu ila majambazi kutoka sehem mbali mbali wanazitumia sana chanjo hz kwaajil ya kazi zao.unaweza kukuta jambazi kakamatwa na kupigwa mapanga na marungu na kufa mtu lkn bado hafi kirahisi.
So jambazi akipigwa hata apigwe vipi hafi na hatoke damu?Kweli kabisa hapo umeeleweka vizuri.
Kunazingi ambazo mtu anapotea kabisa na bila kumfanyia mavitu hafi.
Ndugu yangu unaweza kumpiga utakavyo lakini asiumie wala kufa labda itokee MTU amzingue dawa zake. Jinsi ya kuzingua inatokana Na aina ya kinguti alichochanja..So jambazi akipigwa hata apigwe vipi hafi na hatoke damu?
Vidono vipo aina nyingi mkuu.
Ila ukifatilia hayo mambo sana waweza kuwa jambazi bure. Kuna ambazo kweli risasi haipiti.
Mm rafiki yangu anaweza kuuchana mti mbichi kwa kuuvuta tawi na tawi.
KWA KWELI!Kwetu waha haipo hivo mama..
Hicho ni kidogo kati ya niyajuayo upande huo. Siku life likinipiga nakua mganga tu no way
No fursa ndio ila mwisho utatengeneza majambazi has a usawa huu ulivyoMi naiona fusra hapa tena laini si kama ile ya XF kuwa serious kidogo tukapitalaizi hii fursa.
Bora niokote machupa kuliko kua ila akitokea MTU anatatizo dawa naijua hua namwelekeza tu afanye mwenyeweKWA KWELI!
No fursa ndio ila mwisho utatengeneza majambazi has a usawa huu ulivyo
Hahaaaaaa hapo umeua.. Kweli ukishazipata tu utajili uleee. Shida mchanganyo ndio Kazi inabid ubapata mfupa was gorila au simba. Ila nadhani Kongo yanapatikana kiurahisiKuuza silaha hakuna ubaya na believe me fursa yetu ni usambazaji wa silaha hayo mengine yanatuhusu nini sie. Tuanze bajeti fasta ... nauli hadi kigoma /Congo...., Chakula/ malazi..... Ro materio ya dawa ...... ofisi..... matangazo.... EFD machine (Opshino)..@Da'Vinci tunaumaliza mwaka kivingine.
Kwasasa upo wap?Masanga stand up bibie ndio kwetu katosho ndio beach yetu ila now sipo kigoma.
Baba yangu yule.
shikamoo tena!Mkuu huyo mtu kwebye red alikua anaishi kazuramimba?
Lumonge BurundiKwasasa upo wap?