Jestkilla
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 2,999
- 3,961
Mimi sijaona kwamba IQ yako ni ndogo,ila ukiwa kama mwanaume,achana na dhana kwamba iphone inakupa status yoyote.labda kama uko below 18yrs.hii ni simu tu,itabaki kuwa hivyo,unaweza toa ktk daladala iphone x,demu uliekaa naye pembeni akatoa x na note 8 wakati huo huo.
Ndio maana wabishi wameenda mbali zaidi,wao wana satelite phone za milii 15 na zaidi.
Hilo satphone umtishie nalo nan watu watajua n radio call au watasema jama ana act series ya narcos au Mambo ya ugaidi kitu apple kwisha habari
