Kocha Mkuu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,862
- 3,319
Kwahyo mlitaka hata meseji tuandikie ziko kwenye mikoba au mfukoni tuwe tunaficha Sema hiv iPhone ikitolewa nje ikashikwa mkonon kuandika meseji au kuongea hata uwe chato halafu niko dar unaiona tuuuu tunda linapendeza sana
Mkuu ninatania kunogesha genge, my priorities kwenye simu ni Fast Internet, display size and resolution and battery durability.
Otherwise sina wasiwasi nikiona mtu ameshika iPhone kwa sababu najua ni priorities, na sinunui simu kwa fasheni, na anayenunua kwa fasheni hanishangazi pia.