Jestkilla
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 2,999
- 3,961
![]()
![]()
![]()
![]()
Hajui kitu huyo...anahororoja tu.
Hakusoma mwanzoni kule maelezo,au tushushe nondo za GSM na CDMA au mambo ya at&t T-mobile and blah blah za ughaibun





![]()
![]()
![]()
![]()
Hajui kitu huyo...anahororoja tu.





Nuff said.Exorbitant charges-it depends how you look at it-mimi naona its worth it.Provider wangu ni Movistar,part of the Telefonica group of companies

NIKUSIMULIE MKASA MDOGO BABY AKE UUJUE UCHAWI WA IPHONE ULIVYO NA NGUVU KUSHINDA FREEMASON



SIMU KUA NA BAND ZINAZOIFANYA ISHIKE MASAFA MENGI SIO HOJA KAMA ULIVYOMUULIZA MKUU HAPO JUU HATA XIAOMI ZINA BAND NYING TU KAMA IPHONE ILA WE JIULIZE SWA LI MOJA TU.Unasafiri sana kimataifa wewe?
Nilisafiri umbali mrefu sana nikiwa na lumia 950xl sasa ikatokea kua pembeni yangu niko na mwanamke mrembo sana kwa kutaka misifa nikaamua kumuomba anisevie namba yake ya simu kwa kumuonyesha zile tiles za lumia zinavyocheza cheza .Akawa anashangaaa anaanza kuuliza kwani.hii simu ni aina gani kaka? KUMBE NINA IPHONE 5imetulia tu mfukoni unajua nilipoitoaHaya nasubiri![]()
Haya nasubiri![]()
Nilisafiri umbali mrefu sana nikiwa na lumia 950xl sasa ikatokea kua pembeni yangu niko na mwanamke mrembo sana kwa kutaka misifa nikaamua kumuomba anisevie namba yake ya simu kwa kumuonyesha zile tiles za lumia zinavyocheza cheza .Akawa anashangaaa anaanza kuuliza kwani.hii simu ni aina gani kaka? KUMBE NINA IPHONE 5imetulia tu mfukoni unajua nilipoitoa








BlackBerry baby....
KUITOA TU ETI KAKA MI NAHISI NIMEIPENDA HIO SIMU NDOGO ZAIDI KULIKO HII YA MWANZO NIKAMWAMBIA USIJALI MAMA HII NDIO IPHONE MAMA . NIKASHANGAAA GHAFLA.TU MAHABA YANAPANDA PALE PALE PIGA KELELE TEAM KAAPLE WOTEEEKhaaa![]()
UNAONA SASA NIMEIONA TU PICHA MI NAJIKUTA NAKUFA KABISA YAANI ATA SIJIELEWI YAANI
Afu utakuta wewe ni mwanaume una miaka zaidi ya 25.KUITOA TU ETI KAKA MI NAHISI NIMEIPENDA HIO SIMU NDOGO ZAIDI KULIKO HII YA MWANZO NIKAMWAMBIA USIJALI MAMA HII NDIO IPHONE MAMA . NIKASHANGAAA GHAFLA.TU MAHABA YANAPANDA PALE PALE PIGA KELELE TEAM KAAPLE WOTEEE
Hio conversation ndio maana kule kule maana nilijua haitakwisha kwasababu kuna watu wanaamini wakijuao wao ndio utaratibu dunia nzima.Sasa sim free ya nini? Popote napokwenda labda to the moon,hiyo No itafanya kazi.Enzi za kubadilibadili Sim haziko tena-hii no I have had it for many years-ni almost ID yangu-its not kama niko Bongo you just chuck away a sim card and look for another one
wabongo hatuzi utilize smartphone
wanatumia kwa 20-30%
watz hawajui kutumia hata google map lkn nae ana smartphone kaz yake whatsapp,insta,facebook
Sio nahisi ukweli ndio huo mimi ni mme na hio user name ni yangu na sahihi kabisa sasa unahisi nini ukweli utabaki pale pale tu ndugu yangu .Iphone iko vizuri sana japo kwa sasa natumia xiaomi note 4ila sihitaji matusi yako wala kunidhihaki ila moyoni utakua unajua nn kinaendeleaAfu utakuta wewe ni mwanaume una miaka zaidi ya 25.
Yesu wangu.
JESTKILA MJIBU HUYO MKORINTO ANATAKA KUNITIBUAHao wasiojua tumia google map hua wananikera sana