Kibongo bongo iPhone ni taashira ya hadhi au?

Kibongo bongo iPhone ni taashira ya hadhi au?

Ndo umeandika nini hapo?
xiaomi ndio simu durable stylish na affordable kuliko iphone
IMG
 
Hakuna kitu kizuri kama kukonga moyo wako kwenye maisha, kila mtu anakitu ambacho nafsi yake inataman kupata, wapo ambao wanawaza kujenga, wengine gari na wengine iPhone, sasa huwezi ukamjudge mtu eti kanunua iPhone ni limbukeni, hapana kafata hitaji la nafsi yake. Kwahiyo hata mtu awe na milion 2 na kaenda kununua sim ya 1.9 million kabaki na laki moja ni sawa tu roho yake imeridhika sasa shida ipo kwa watu wanaoishi kwa mawazo ya watu. Konga nyoyo life is too short

Swadakta!
 
Perception. Kama 2million mtu unaona ni nyingi utaona mtu ana hadhi.Nilionaga picha Dangote kashika simu ya "kichovu"..sasa sijui na yy akiona mtu ana iphone atamwona ana hadhi..
 
Nianze na fasili kwanza maana wengi wenu nyie 'millennials' hamjui lugha. Iwe Kiswahili au Kiingereza, hamko vizuri kivile. Ni wababaishaji tu😀.

Taashira maana yake ni ishara/ au dalili. Naamini mnajua maana ya ishara na dalili.

Sasa kuna jambo nimeliona ambalo ningependa kusikia maoni ya wengine kulihusu.

Hivi hapa bongo iPhone ni ishara ya hadhi [ya juu]? Nauliza hivyo kwa sababu nimeshapigwa sana mizinga ya 'Ngabu naomba niletee iPhone basi...hata kama ni iPhone 5 au iPhone SE'.

Kwa nini iPhone kwa sana na si Samsung, LG, Motorola, au zinginezo?

View attachment 632283
Iphone ni aina ya simu zinazoitwa Highend smartphones. Kawaida company yao hawatoi simu za lower end. Mfano Huwezi kuta iphone inauzwa elfu themanini, laki moja, laki 2, tatu ama tano..

Hivyo kulingana na Bei zake hufanya wateja wao worldwide ni watu matajiri watako zi afford. Kwa mujibu za takwimu za Bloomberg mwaka jana iphone users ndio matajiri duniani. Ukilinganisha na watumkaji wa simu za aina nyingine.

Ukilinganisha na brands zingine duniani kama Samsung ya Korea ,na Huwawei inayo dominate soko la China nk. ambapo wanatoa simu za kuanzia lowend mpaka high end.

Tecno wako kwenye category ya Lowend smartphones.
Zingine ni Xtigi, Zero, Itel , Infinix, simu hizi ni kwa ujumla hazipokei Update za maboresho ya operating systems zao. Ukishanunua Rununu unaitumia mpaka unaitupa, unakua haujawahi kupokea update yoyote.

Ukitaka kupata Android 8 aureo utalazimika kununua simu mpya.

Pia simu hizi zinatumia mediatek chipset ambayo inapata joto haraka. Na kuifanya simu ichemke.
Pia zinakua sandwiched na core mbalimbaki kama octacore, dual core., Mali chipset. Nk.chipset ambazo ni dhaifu kwa ujumla.
e220e13e100fdda0dcedc17e7dc2f804.jpg
 
WANATAKA IPHONE HALAFU KUITUMIA HAWAJUI.

IPHONE WATUMIAJI NI WACHACHE KWA NCH ZA KIAFRIKA. MFN TZ, UNAWEZA KWENDA WILAYA NZIMA IPHONE UKAZIKUTA MBILI AU 3

ILA TECNO HADI MTOTO WA SHULE ANAYO

Samsung zimezagaa kama nywele
 
Back
Top Bottom