Kibongo bongo iPhone ni taashira ya hadhi au?

Inategemea na mtazamo wa mtu. WaTz wengine yuko radhi atumie akiba yake yote kununua iPhone, mimi binafsi sinunui simu zaidi ya 300,000/- kwasabsbu nishamiliki latest phones before ambazo nilikuwa napata bure sasa sioni mantiki ya kutoa 2.5m ninunie simu!
Kwa upande mwingine ni priority, mfano naweza kutumia 2m kununua Tv lakini sio simu.
Kwa kumalizia kwangu mimi mtu akimiliki iPhone wala sioni kama kafanikiwa naona ana hobby tu na hio device.
 
Inategemea na mtazamo wa mtu. WaTz wengine yuko radhi atumie akiba yake yote kununua iPhone, mimi binafsi sinunui simu zaidi ya 300,000/- kwasabsbu nishamiliki latest phones before ambazo nilikuwa napata bure sasa sioni mantiki ya kutoa 2.5m ninunie simu!
Kwa upande mwingine ni priority, mfano naweza kutumia 2m kununua Tv lakini sio simu.
Kwa kumalizia kwangu mimi mtu akimiliki iPhone wala sioni kama kafanikiwa naona ana hobby tu na hio device.

Fair enough and to each his own.
 
Inategemea na mtazamo wa mtu. WaTz wengine yuko radhi atumie akiba yake yote kununua iPhone, mimi binafsi sinunui simu zaidi ya 300,000/- kwasabsbu nishamiliki latest phones before ambazo nilikuwa napata bure sasa sioni mantiki ya kutoa 2.5m ninunie simu!
Kwa upande mwingine ni priority, mfano naweza kutumia 2m kununua Tv lakini sio simu.
Kwa kumalizia kwangu mimi mtu akimiliki iPhone wala sioni kama kafanikiwa naona ana hobby tu na hio device.
Well said mkuu, kila mtu ana hobby na kitu fulani na kukipa uzito kwa upande wake mimi binafsi siwezi kununua simu hata ya laki 5 bora nimtumie hiyo hela mama aninunulie shamba huko kijijini.
 
Kutumia iPhone wala sio tatizo, ni sawa tu na gari mwingine anamudu IST na mwingine anamudu RANGE ROVER, tatizo linakuja kwa sisi watu wenyewe. Mfano mtu asiye na gari akiona Range Rover ataisifia tu uzuri kwa sababu anajua litabaki kuwa nbdoto na sio lazima wote tuwe na magari, inapokuja kwenye simu ni kitu ambacho kwanza ni anasa kwa walio wengi halafu pia ni lazima mtu awe nayo so inapotokea hawezi kununua iPhone anasema wanaomudu wanajiona wana pesa.
 
Simu siwezi kununua kwa mtindo huo.

Ni cash money right away.

Kama huwezi kununua simu kwa pesa taslimu basi jua huna uwezo bali unalazimisha tu.

I wanted one. Bought it. Now I own it....free and clear!
You dont buy...kama una credit score nzuri unapewa free phone,2000minutes,10gb,unlimited text for $30 per month...mfano.
 
Halafu wamiliki wa iPhone wanapenda kuionesha onesha kwa mbwembwe sana.

Ukiwa na Mercedes Benz kwny harusi unaenda ku block Gari ya Bwanaharusi Halafu unajificha kwny Kundi la wasiokujua, utaskia mwny namba T 665 DCK Aina ya gari ni Mercdes Benz anaombwa atoke Nje kuna Tatizo kidogo sasa hapo ndo unaanza kutoka kwa kuzunguka mbele pale kwny keki huku unarekebisha Funguo kwny lux ya Mkanda kila Mtu a kutambue

Sasa hapo waliokuja harusini kwa Uber lazima wakupige madongo ,

Masikini wengi wana roho mbaya japo Sijui Mahusiano ya roho mbaya na Umaskini wetu
 
Well said mkuu, kila mtu ana hobby na kitu fulani na kukipa uzito kwa upande wake mimi binafsi siwezi kununua simu hata ya laki 5 bora nimtumie hiyo hela mama aninunulie shamba huko kijijini.
That's true, hobby drives watu, mi binafsi nishamiliki sana smartphone lakini ukiniuliza ntakwambia naitumia tu kungalia matokeo live score, upuuzi kabisa kununua simu ya 1+M ukiachia mbali hobby, Waafrika wengi hasa maskini kama watanzania tunaamini katika ufahari kuficha umasikini wetu, ndio maana leo nikiwa na dili napiga mwenyewe maana kila mtu anasema ana business zake kumbe anaosha tu.
 
That's true, hobby drives watu, mi binafsi nishamiliki sana smartphone lakini ukiniuliza ntakwambia naitumia tu kungalia matokeo live score, upuuzi kabisa kununua simu ya 1+M ukiachia mbali hobby, Waafrika wengi hasa maskini kama watanzania tunaamini katika ufahari kuficha umasikini wetu, ndio maana leo nikiwa na dili napiga mwenyewe maana kila mtu anasema ana business zake kumbe anaosha tu.

Hahahahahah, Acha tujiliwaze, kwani nisiponunua IPhone ndo ntakuwa Tajiri au Matatizo yataisha!

Mie Maskini Mwenye IPhone na Maskini mwenzangu Mwenye Techno Mbona Hana nafuu Kwa hiyo aliyosave!
 
That's true, hobby drives watu, mi binafsi nishamiliki sana smartphone lakini ukiniuliza ntakwambia naitumia tu kungalia matokeo live score, upuuzi kabisa kununua simu ya 1+M ukiachia mbali hobby, Waafrika wengi hasa maskini kama watanzania tunaamini katika ufahari kuficha umasikini wetu, ndio maana leo nikiwa na dili napiga mwenyewe maana kila mtu anasema ana business zake kumbe anaosha tu.
Umeona mkuu, unanunua simu ya 1m+ halafu matumizi yake ya kawaida kabisa, whatsap, call&sms, na ku browse tu, vitu vilivyomo ndani( program) hujawahi vitumia hata robo kwa nini usiwe na simu ya laki 2/3 tuu inatosha.
 
Back
Top Bottom