RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,834
Inategemea na mtazamo wa mtu. WaTz wengine yuko radhi atumie akiba yake yote kununua iPhone, mimi binafsi sinunui simu zaidi ya 300,000/- kwasabsbu nishamiliki latest phones before ambazo nilikuwa napata bure sasa sioni mantiki ya kutoa 2.5m ninunie simu!
Kwa upande mwingine ni priority, mfano naweza kutumia 2m kununua Tv lakini sio simu.
Kwa kumalizia kwangu mimi mtu akimiliki iPhone wala sioni kama kafanikiwa naona ana hobby tu na hio device.
Kwa upande mwingine ni priority, mfano naweza kutumia 2m kununua Tv lakini sio simu.
Kwa kumalizia kwangu mimi mtu akimiliki iPhone wala sioni kama kafanikiwa naona ana hobby tu na hio device.