Jestkilla
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 2,999
- 3,961
Kuna mtu hata asevu mwaka mzima hawezi kutimiza hiyo 1.8 m, mfano mtu mwenye kipato net laki 4, hiyo ni basic salary ya laki 5 na nusu.
Unadhani anaweza ku-afford kusave 150,000 kwa mwezi ili aje anunue simu ya 1.8M?
Na hao ndo waliojaa humu JF (50%+ members humu wana kipato cha gross chini ya 1M).
Hiyo ela ya mboga 1m naandika hapa wameingiza siku ya j3 tu within masaa 2 ukitaka mtafute ontario akuambie vijana wake wanafanya nin mda huu watu kwa siku wanaingiza mapesa kibao we endlea kufikiria stori za Salary

