Wametumia kipimo Gani katika hitimisho lao?Wameshasema katiba mpya siyo mwarobaini....kazi iendelee.
Wametumia kipimo Gani katika hitimisho lao?Wameshasema katiba mpya siyo mwarobaini....kazi iendelee.
Chahali:Hayo yote unayodhani yatawezeshwa na Katiba Mpya yanaweza kubaki ndoto za alinacha. Kwa sababu moja kuu: tatizo sio sheria mpya, nzuri au kali bali tatizo kubwa si kwa watawala wetu bali Watanzania kwa ujumla ni katika kuheshimu sheria. Hebu tupia jicho hapo mtaani unapoishi, ni watu wangapi wanakiuka "sheria za ndoa"? Sasa kama watu hawaheshimu sheria "binafsi," miujiza gani itafanya sheria za kwenye Katiba mpya ziheshimiwe?
Mkuu, umetumia muda wako kumpa jibu zuri kabisa, lakni kwa mtu kama huyo ni sawa na kazi bure uliyofanya. Kwa sababu hana uwezo wa kuelewa, na kama anao, maslahi anayoyapigania hayamruhusu kukiri ukweli huo.Kiswahili kimekuwa kigumu kiasi hiki?
Maslahi ya watu kwa sababu ya njaa za matumbo yao na familia zao. Vipi hayo yanaweza linganishwa na maslahi haya:
Mwananchi wa kawaida anayejielewa, anayekataa kuendelea kubambikiziwa kesi, kuendelea kudhulumiwa, kuendelea kubebeshwa mizigo ya kodi za wengine nk.
Au hata yule anayetaka mihimili ya utawala iliyo na uhuru kamili, anayetaka usawa, anayetaka uwajibikaji, anayetaka mawazo yake kusikilizwa nk.
Seriously, haikuingii akilini kuwa kwanini hapo pana tofauti?
Au ni ile mambo ya kujitia hamnazo?
Mkuu, umetumia muda wako kumpa jibu zuri kabisa, lakni kwa mtu kama huyo ni sawa na kazi bure uliyofanya. Kwa sababu hana uwezo wa kuelewa, na kama anao, maslahi anayoyapigania hayamruhusu kukiri ukweli huo.
Mahakama ikiwa huru lazima Rais atafuata sheriaHayo yote unayodhani yatawezeshwa na Katiba Mpya yanaweza kubaki ndoto za alinacha. Kwa sababu moja kuu: tatizo sio sheria mpya, nzuri au kali bali tatizo kubwa si kwa watawala wetu bali Watanzania kwa ujumla ni katika kuheshimu sheria. Hebu tupia jicho hapo mtaani unapoishi, ni watu wangapi wanakiuka "sheria za ndoa"? Sasa kama watu hawaheshimu sheria "binafsi," miujiza gani itafanya sheria za kwenye Katiba mpya ziheshimiwe?
Una akili nyingiiiiii mno🤣Ukiwa mjinga unaweza kusema hivyo. Lakini kama una akili japo kidogo, huwezi kusema hivyo, maana utakuwa ulisikia wananchi walisema nini kuhusiana na katiba yetu ya sasa na hitajio la katiba mpya, kupitia report ya Tume ya katiba ya Jaji Warioba.
Hata mimi nashangaa ndugu, yaani mivutano imekuwa mingi.Wametumia kipimo Gani katika hitimisho lao?
Kamanda Siro aliambiwa watanzania siyo wajinga wale waliyomteka Mo watafutwe. Mpaka leo kimya.Baada yakifo cha bichwa, CCM imeamua kidogo ilegeze isikie Watanzania wenye akili niwengi au bado wachache.
Hayo yote unayodhani yatawezeshwa na Katiba Mpya yanaweza kubaki ndoto za alinacha. Kwa sababu moja kuu: tatizo sio sheria mpya, nzuri au kali bali tatizo kubwa si kwa watawala wetu bali Watanzania kwa ujumla ni katika kuheshimu sheria. Hebu tupia jicho hapo mtaani unapoishi, ni watu wangapi wanakiuka "sheria za ndoa"? Sasa kama watu hawaheshimu sheria "binafsi," miujiza gani itafanya sheria za kwenye Katiba mpya ziheshimiwe?
Chombo cha habari kingevamiwa live na makirikiri kama Bashite alivyovyamia kipindi cha Shilawadu.Kwa nini kipindi cha lile lisanamu la Chato hakukukuwa na hizi hamsha hamsha.
Alipomkwepa jiwe ni pale alipoamua kusimamia taaluma yake,na si kuijiingiza kwenye harakati kunuka kama za wengine.Huyu ni miongoni mwa mawakili wachache sana walio goma hata kumsujudia jiwe enzi zake.
Ni miongoni mwa wasomi wachache wanaosimami wanachokiamini.
Bravo! Kibatala.
Nchi huru hii kwa watu kutoa maoni.Ukiwa mjinga unaweza kusema hivyo. Lakini kama una akili japo kidogo, huwezi kusema hivyo, maana utakuwa ulisikia wananchi walisema nini kuhusiana na katiba yetu ya sasa na hitajio la katiba mpya, kupitia report ya Tume ya katiba ya Jaji Warioba.
Mtanzania ndiye mtu pekee anayejua kudai haki na hapendi kutimiza wajibu.Hayo yote unayodhani yatawezeshwa na Katiba Mpya yanaweza kubaki ndoto za alinacha. Kwa sababu moja kuu: tatizo sio sheria mpya, nzuri au kali bali tatizo kubwa si kwa watawala wetu bali Watanzania kwa ujumla ni katika kuheshimu sheria. Hebu tupia jicho hapo mtaani unapoishi, ni watu wangapi wanakiuka "sheria za ndoa"? Sasa kama watu hawaheshimu sheria "binafsi," miujiza gani itafanya sheria za kwenye Katiba mpya ziheshimiwe?
sisi kama wananchi tunasema kwa sasa mambo ya katiba mpya hatutaki, labda hadi mwaka 2040.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwahiyo unadhani hiyo katiba mpya itayaondoa haya unayoyaota? tupe mfano wa nchi ambayo ina katiba nzuri ambayo haya mambo unayoyataja hayapoWasio hitaji katiba mpya ni kwamba:
1. Hawajui kuna kubambikiziana makesi popote
2. Hawajui kutokea kwenye kubambikiziwa kesi wanaweza kushikiliwa kwa muda wowote, wakaja achiliwa bila mtu kuwajibika
3. Hawahitaji kuwa sawa na wengine mbele za sheria
4. Hawana taabu na utitiri wa viongozi wasio na ridhaa nao wala hawalali hata kama viongozi hao hawalipi kodi
5. Kwao mihimili ya utawala kuwa huru haina maana
6. Nk nk.
Kwa hakika watu hao hawajitambui au ni wanufaika wa moja kwa moja wa katiba iliyopo.
Au nasema uongo ndugu zangu?
kwahiyo unadhani hiyo katiba mpya itayaondoa haya unayoyaota? tupe mfano wa nchi ambayo ina katiba nzuri ambayo haya mambo unayoyataja hayapo