BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Wakili msomi bwana Peter Kibatala leo katika power breakfast ya clouds FM amefunguka kisomi kuhusiana na katiba mpya.
View attachment 1842161
"Katiba mpya ni hitajio la watanzania wengi. Wanaopinga, ni kwa sababu tu ya maslahi binafsi yatokanayo na katiba iliyopo." -- amesisitiza wakili huyo.
Hoja hupingwa kwa hoja. Barikiwa sana wakili msomi.