Kibarua kimeota Nyasi: Waliozoea siasa za vita Mbowe, Lissu, Rais Samia waungana kujenga nchi. Funzo kwa...!

Samia hawezi siasa za ikulu na siasa za majukwaa ya nyomi na zomea zomea, na hata hivo ni Rais wa kipindi cha mpito 2021-2025 , hawezi na hataweza kuwa mgombea wa ccm hio 2025.

Mgombea mwenye hadhi hio na anaemudu viatu vya ikulu anafahamika na anaendelea vizuri na tuition ya Urais.

Pigeni mayowe vuvuzela ila Samia anaishia 2025, Marais wa Zali la mentali mwisho 2025.

HAHM ije mvua ije jua ije ukame ije mafuriko habari ndio hiyo.
Utakuwa uko milembe,,,,mama ni hadi 2030

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Samia hawezi siasa za ikulu na siasa za majukwaa ya nyomi na zomea zomea, na hata hivo ni Rais wa kipindi cha mpito 2021-2025 , hawezi na hataweza kuwa mgombea wa ccm hio 2025.

Mgombea mwenye hadhi hio na anaemudu viatu vya ikulu anafahamika na anaendelea vizuri na tuition ya Urais.

Pigeni mayowe vuvuzela ila Samia anaishia 2025, Marais wa Zali la mentali mwisho 2025.

HAHM ije mvua ije jua ije ukame ije mafuriko habari ndio hiyo.
Unaota ndoto mchana Rais Samia anatawala hadi 2040. Utake usitake.
 
Sasa ni rasmi tunaelekea siasa za Ulaya na Marekani.

Siasa za maendeleo. Siasa za kistaarabu. Zile siasa za kutafutana kuuana, kutekana, kufungana na kufilisiana mali Mh Rais Samia ameona hazina tija kwa taifa.

Akiongea na Wasikilizaaji ktk Mtandao wa maongezi wa Club House Mh Makamu Mwenyekiti Chadema Tundu Antiphas Lissu ameunga mkono jambo zuri alilofanya Mh Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chama hicho kuwa ni jambo jema.

Ni jambo jema kwa kuwa Rais ameachana na siasa za mitulinga. Tumefikia hatua hii kwa jasho na damu, tumelipa gharama hapa tulipofika " alisema kiongozi huyo.

Aliongeza kuwa Mbinu na mikakati iliyotumika kuishi wakati za awamu ya tano haiwezi kuzaa matunda wakati wa awamu ya sita kwani wakati huo tuliamua kubadilika kwa ajili ya Individual survival.

Jambo hili limeungwa mkono na wadau mbali mbali wa siasa na watanzania woote wakidai kuwa sasa tunaelekea Tanzania Mpya.

Wito kwa vyombo vingine vya serikali viige mfano mwema wa Rais Samia.

Wikendi njema
Ndugu yangu usijidanganye na huyo samia, ccm ileile usitarajie faraja ndan ya ccm
 
Sasa ni rasmi tunaelekea siasa za Ulaya na Marekani.

Siasa za maendeleo. Siasa za kistaarabu. Zile siasa za kutafutana kuuana, kutekana, kufungana na kufilisiana mali Mh Rais Samia ameona hazina tija kwa taifa.

Akiongea na Wasikilizaaji ktk Mtandao wa maongezi wa Club House Mh Makamu Mwenyekiti Chadema Tundu Antiphas Lissu ameunga mkono jambo zuri alilofanya Mh Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chama hicho kuwa ni jambo jema.

Ni jambo jema kwa kuwa Rais ameachana na siasa za mitulinga. Tumefikia hatua hii kwa jasho na damu, tumelipa gharama hapa tulipofika " alisema kiongozi huyo.

Aliongeza kuwa Mbinu na mikakati iliyotumika kuishi wakati za awamu ya tano haiwezi kuzaa matunda wakati wa awamu ya sita kwani wakati huo tuliamua kubadilika kwa ajili ya Individual survival.

Jambo hili limeungwa mkono na wadau mbali mbali wa siasa na watanzania woote wakidai kuwa sasa tunaelekea Tanzania Mpya.

Wito kwa vyombo vingine vya serikali viige mfano mwema wa Rais Samia.

Wikendi njema
Ya siasa Kama za kenya za Sasa zinawezekana tz, ila tuwe makini ccm hawaaminiki period nasema, nitashangaa Sana na Sana Kama viongozi wangu wa juu Chadema ,wataingia mguu sawa MOJA KWa MOJA , lazima ,na lazima narudia kua na kipindi Cha mpito
 
Sasa ni rasmi tunaelekea siasa za Ulaya na Marekani.

Siasa za maendeleo. Siasa za kistaarabu. Zile siasa za kutafutana kuuana, kutekana, kufungana na kufilisiana mali Mh Rais Samia ameona hazina tija kwa taifa.

Akiongea na Wasikilizaaji ktk Mtandao wa maongezi wa Club House Mh Makamu Mwenyekiti Chadema Tundu Antiphas Lissu ameunga mkono jambo zuri alilofanya Mh Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chama hicho kuwa ni jambo jema.

Ni jambo jema kwa kuwa Rais ameachana na siasa za mitulinga. Tumefikia hatua hii kwa jasho na damu, tumelipa gharama hapa tulipofika " alisema kiongozi huyo.

Aliongeza kuwa Mbinu na mikakati iliyotumika kuishi wakati za awamu ya tano haiwezi kuzaa matunda wakati wa awamu ya sita kwani wakati huo tuliamua kubadilika kwa ajili ya Individual survival.

Jambo hili limeungwa mkono na wadau mbali mbali wa siasa na watanzania woote wakidai kuwa sasa tunaelekea Tanzania Mpya.

Wito kwa vyombo vingine vya serikali viige mfano mwema wa Rais Samia.

Wikendi njema
Ya siasa Kama za kenya za Sasa zinawezekana tz, ila tuwe makini ccm hawaaminiki period nasema, nitashangaa Sana na Sana Kama viongozi wangu wa juu Chadema ,wataingia mguu sawa MOJA KWa MOJA , lazima ,na lazima narudia kua na kipindi Cha
Ya siasa Kama za kenya za Sasa zinawezekana tz, ila tuwe makini ccm hawaaminiki period nasema, nitashangaa Sana na Sana Kama viongozi wangu wa juu Chadema ,wataingia mguu sawa MOJA KWa MOJA , lazima ,na lazima narudia kua na kipindi Cha mpito
ILI KUMUAMIN HUYU MAMA NA CCM KWANZA MCHAKATO WA KATIBA UKAANZE MARA MOJA, ANGALAU HAPO TUTAAMIANA ZAIDI
 
Ya siasa Kama za kenya za Sasa zinawezekana tz, ila tuwe makini ccm hawaaminiki period nasema, nitashangaa Sana na Sana Kama viongozi wangu wa juu Chadema ,wataingia mguu sawa MOJA KWa MOJA , lazima ,na lazima narudia kua na kipindi Cha

ILI KUMUAMIN HUYU MAMA NA CCM KWANZA MCHAKATO WA KATIBA UKAANZE MARA MOJA, ANGALAU HAPO TUTAAMIANA ZAIDI
Ni kweli hawaaminiki
 
Ndugu yangu sisi tuliondoka humu baadala ya Mbowe kuuza chama kwa Lowassa,tukaamua kuendelea na mambo mengine tu, Sasahivi tuigia humu kiobi tu,na kuna wwengi hawajawahi kurudi humu,kisa upumbavu aliotufanyia mbowe,hata hivo kutooekana ktk jamvi Sio kwamba sijui siasa na wanasiasa wa Tanzania Bloo

Kwani hili jukwaa ni la Mbowe mpaka ususie akiuzA hicho chama? Ok sasa hivi umerudi ndio karudisha hela za mauzo? Na kwanini usirudi na hiyo id yako ya kawaida?
 
Ya siasa Kama za kenya za Sasa zinawezekana tz, ila tuwe makini ccm hawaaminiki period nasema, nitashangaa Sana na Sana Kama viongozi wangu wa juu Chadema ,wataingia mguu sawa MOJA KWa MOJA , lazima ,na lazima narudia kua na kipindi Cha

ILI KUMUAMIN HUYU MAMA NA CCM KWANZA MCHAKATO WA KATIBA UKAANZE MARA MOJA, ANGALAU HAPO TUTAAMIANA ZAIDI
Tundu Lissu amepewa passport mpya na Serikali ya Tanzania baada ya ile ya awali kupotea kwa kuibwa kule Ujerumani.

Lissu amekabifhiwa passport yake leo na balozi wetu.

Lissu amesema Rais Samia anafanya kazi kubwa na nzuri sana hivyo Watanzania wote tumuunge mkono ili tujenge Tanzania mpya yenye Upendo na Umoja.

Tundu Lissu amemshukuru sana Rais Samia.

Source: Star tv
 
Kwani hili jukwaa ni la Mbowe mpaka ususie akiuzA hicho chama? Ok sasa hivi umerudi ndio karudisha hela za mauzo? Na kwanini usirudi na hiyo id yako ya kawaida?
Muulize baada ya Mbowe kuuza chama na yeye akaondoka Chadema ilikufa?
 
Sasa ni rasmi tunaelekea siasa za Ulaya na Marekani.

Siasa za maendeleo. Siasa za kistaarabu. Zile siasa za kutafutana kuuana, kutekana, kufungana na kufilisiana mali Mh Rais Samia ameona hazina tija kwa taifa.

Akiongea na Wasikilizaaji ktk Mtandao wa maongezi wa Club House Mh Makamu Mwenyekiti Chadema Tundu Antiphas Lissu ameunga mkono jambo zuri alilofanya Mh Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chama hicho kuwa ni jambo jema.

Ni jambo jema kwa kuwa Rais ameachana na siasa za mitulinga. Tumefikia hatua hii kwa jasho na damu, tumelipa gharama hapa tulipofika " alisema kiongozi huyo.

Aliongeza kuwa Mbinu na mikakati iliyotumika kuishi wakati za awamu ya tano haiwezi kuzaa matunda wakati wa awamu ya sita kwani wakati huo tuliamua kubadilika kwa ajili ya Individual survival.

Jambo hili limeungwa mkono na wadau mbali mbali wa siasa na watanzania woote wakidai kuwa sasa tunaelekea Tanzania Mpya.

Wito kwa vyombo vingine vya serikali viige mfano mwema wa Rais Samia.

Wikendi njema
Leo tayari Tundu Lissu amepewa Passport yake iliyokuwa imepotea.

Hadidu z rejea namba 2✌✌✌
 
Back
Top Bottom