Imefika Mahali Kama Taifa tunakuwa hivi? Yaani Mbowe Mmoja akikohoa Nchi inatetemeka?

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,133
20,296
Kwa leo nilikuwa bize na kazi za kujenga Taifa na kumsaidia Mh Rais Dr Samia kukuza Uchumi wa Nchi kwa kuzalisha kwa level ya mtu mmoja mmoja. Nami kama mwananchi na raia mwema nikaona baada ya Kusherehekea Mapinduzi Matukufu basi nijielekeze kwenye uzalishaji.

Kwa kusema hivyo sikuwa na taarifa nyingi za mitandaoni kwa siku ya leo.

Jambo nililosikia ni kuwa Mh Mbowe Kiongozi na Mwenyekiti wa Chama kikuu cha Upinzani amekohoa leo.

Cha Ajabu ni kuwa ni kama vile IDF wameingia Nchini.

Yaani Kukohoa kwake Nchi nzima imetetemeka.

Je kama taifa tumefika hatua hii?

Hii over reaction na disregulated response inatokana na nini hasa?

Je Mh Mbowe anatisha kiasi hicho?
 
Wanaotisha ni wananchi ambao wanamalalamiko ya kweli so mtu yeyote anayesema lugha ya kugusa hisia zao hata kama hayupo real anawatishia wenye dhamana.

Ilipofika viongozi wakubali tu tuandike Katiba mpya tuanze Moja kama nchi. Huwezi tena ku contain information zama hizi za high tech, utatumia nguvu kubwa na siku waki riot kurudisha nchi kwenye mstari itakuwa shida. Busara ni kuweka mambo sawa Ili Kila mtu aweze kutoa mchango wake pale anapostahili
 
Wanaotisha ni wananchi ambao wanamalalamiko ya kweli so mtu yeyote anayesema lugha ya kugusa hisia zao hata kama hayupo real anawatishia wenye dhamana...Ilipofika viongozi wakubali tu tuandike Katiba mpya tuanze Moja kama nchi. Huwezi tena ku contain information zama hizi za high tech, utatumia nguvu kubwa na siku waki riot kurudisha nchi kwenye stari itakuwa shida. Busara ni kuweka mambo sawa Ili Kila mtu aweze kutoa mchango wake pale anapostahili
Nadhani wakubali tu mambo yaishe maana Swala la Katiba Mpya halikwepeki iwe leo ama kesho
 
Hivi Mbowe atastaafu lini uenyekiti?
Fikra zake zimefika mwisho,
Chadema hivi ilivyo ni kwa sababu mwenye kiti uwezo wake wa kufikiri umefika mwisho

Tunataka mwenyekiti mpya
Mwenye mawazo mapya
 
Kwa leo nilikuwa bize na kazi za kujenga Taifa na kumsaidia Mh Rais Dr Samia kukuza Uchumi wa Nchi kwa kuzalisha kwa level ya mtu mmoja mmoja. Nami kama mwananchi na raia mwema nikaona baada ya Kusherehekea Mapinduzi Matukufu basi nijielekeze kwenye uzalishaji.

Kwa kusema hivyo sikuwa na taarifa nyingi za mitandaoni kwa siku ya leo.

Jambo nililosikia ni kuwa Mh Mbowe Kiongozi na Mwenyekiti wa Chama kikuu cha Upinzani amekohoa leo.

Cha Ajabu ni kuwa ni kama vile IDF wameingia Nchini.

Yaani Kukohoa kwake Nchi nzima imetetemeka.

Je kama taifa tumefika hatua hii?

Hii over reaction na disregulated response inatokana na nini hasa?

Je Mh Mbowe anatisha kiasi hicho?


Tatizo sio Mbowe kuongea. Mbowe kuwaongelea watu wengine ambao hawana mtu wa kuwaongelea. Tanzania sio nchi ya chama kimoja ni nchi ya watu wote. Ni ajabu kama kwa mtu yeyeote anaye sema anapenda nchi lakini eti hapendi katiba mpya wala uhuru wa watu. Kwanza kama unapenda nchi ujue unatunza vita huko mbele pili imefika wakati maslahi ya wachache Watanzania wanajua ukweli. Chadema juzi juzi tu wameanza kusajili wanachama nasikia wamefika 15M kama unafikiri tunaweza kupuuza Chadema au wapinzani Tanzania basi umepitwa na wakati
 
Tatizo sio Mbowe kuongea. Mbowe kuwaongelea watu wengine ambao hawana mtu wa kuwaongelea. Tanzania sio nchi ya chama kimoja ni nchi ya watu wote. Ni ajabu kama kwa mtu yeyeote anaye sema anapenda nchi lakini eti hapendi katiba mpya wala uhuru wa watu. Kwanza kama unapenda nchi ujue unatunza vita huko mbele pili imefika wakati maslahi ya wachache Watanzania wanajua ukweli. Chadema juzi juzi tu wameanza kusajili wanachama nasikia wamefika 15M kama unafikiri tunaweza kupuuza Chadema au wapinzani Tanzania basi umepitwa na wakati
Duuh 15M?

Hii kiboko
 
Politicians ,wawe opposition ama ones in power mmewatelekeza wananchi at least Jana mbowe kaongea lugha ya wananchi ndo unaona taharuki.watanzania si wajinga
Aisee Mbowe kafanya jambo la Maana sana kama ndio hivyo.
 
Back
Top Bottom