Kibarua kimeota Nyasi: Waliozoea siasa za vita Mbowe, Lissu, Rais Samia waungana kujenga nchi. Funzo kwa...!

Kwani wewe chawa Lengo lako hasa maishani ni Lipi. Unadhani ulaya na marekani wanasiasa hawaviziani kuangushana. That’s normal. Sisi watu wa kawaida ndo wapumbavu tunakaa kutunga Hypotheses kuridhisha yaliyomo vichwani mwetu kama ushabiki wa Simba na Yanga. Weakness yenu kubwa Ni kufanya haya mawazo sehemu yako ya maisha katika furaha na huzuni. That’s why ukiona dalili ya kukaa pamoja tu kwako inakuwa kama mkeo kuenda Movie na x Wake na kulala huko.

Umechanganya mambo mengi kwa pamoja hadi nashindwa kujua nijibu lipi. Au mimi ndio sielewi ulichotaka kusema?
 
M

Magufuli aliwashauli mapema kuwa achaneni na siasa za matusi na uhanarakati mkashupaza shingo,mkazani Wazungu watawasaidia,mmeacha mmeisha umia eti Ndio mnataka kufanya siasa za usitarabu ili Mama yenu atawale vizuri, Upuuzi mtupu
Hapa tunaongelea vitu hai na watu walio hai
 
Samia hawezi siasa za ikulu na siasa za majukwaa ya nyomi na zomea zomea, na hata hivo ni Rais wa kipindi cha mpito 2021-2025 , hawezi na hataweza kuwa mgombea wa ccm hio 2025.

Mgombea mwenye hadhi hio na anaemudu viatu vya ikulu anafahamika na anaendelea vizuri na tuition ya Urais.

Pigeni mayowe vuvuzela ila Samia anaishia 2025, Marais wa Zali la mentali mwisho 2025.

HAHM ije mvua ije jua ije ukame ije mafuriko habari ndio hiyo.
Bila shaka wewe utakuwa kama sio Polepole basi utakuwa Musiba. Da!! Mnatia huruma sana
 
All precautions considered.

Tindo unadhani wewe u a maumivu kuliko Freeman?

Sina maumivu kama mwenyekiti as a cheo, bali nina maumivu kama mfuasi wa cdm, huenda ningekuwa kwenye cheo chake ningekuwa na maumivu kuliko yeye. Sidhani kama Mbowe ndio mwanacdm aliyeumizwa kuliko mfuasi mwingine. Tena yeye ana afadhali maana amekula matunda mengi ya cdm kuliko wafuasi wengi wa cdm. Nahisi amefaidika zaidi kuliko alivyoumia, japo ni ukweli wa dhahiri pia kuwa ameumizwa sana.
 
Magu hakuwa mwanasiasa bali mlevi wa madaraka. Hakuna mwanasiasa mstaarabu asiyetaka matusi anaweza kuwaambia wananchi wake wabaki na mavi yao nyumbani. Zungumzia mtu mwingine sio yule mshenzi.
Hata Kikwete alisha wahi sema kuwa ukitaka kula nawe unaliwa,mkapa aliwahi kuwaita Wapinzani ni wapumbavu, Lissu aliwahi kuwaita Maprofessors rubbishy,hizo ndizo kauli za wanasiasa inategemea kahamukaje Siku hiyo, lakini JPM aliwashauli mapema chadema kuwa tutangulize taifa Kwanza vyama vyetu badae wakaleta nyodo,wakadhani Magufuli atakuwa mwepesi Kama Kikwete,kilichofuata kila Mtu anajua,eti sasahivi Ndio wanataka siasa za kistarabu, mbona walikataa tangu mwanzo?ngoja mwone Mbowe anakwemda kuwa kama mrema, kutegemea fadhila za ccm ili apate ubunge wa viti maarumu,unacheza na ccm yetu macho,hata mwanzo Wakati wanamkaribisha Lowassa tulisema tukatukanwa hivi hivi, lakini mpaka Sasahivi chama hutujui kinasimamia Nini,kimebaki kudandia hoja za kila Mtu, lakini mwanzo tulijua chadema inapingana na ufisadi na rusha iliinuka kupitia agenda hizo.
 
Siasa safi ni watu wapate huduma bora
Kodi khalidi zitozwe
Bei za bidhaa muhimu zishuke
Utawala bora

Maji

Umeme

Elimu bora


Kama hivi haziko basi hakuna umuhimu
 
Sasa nu rasmi tunaelekea siasa za Ulaya na Marekani.

Siasa za maendeleo. Siasa za kistaarabu. Zile siasa za kitafutana kuuana, kutekana, kufungana na kufilisiana mali Mh Rais Samia ameona hazina tija kwa taifa.

Akiongea na Wasikilizaaji ktk Mtandao wa maongezi wa Club House Mh Makamu Mwenyekiti Chadema Tundu Antiphas Lissu ameungi mkono jambo zuri alilofanya Mh Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chama hicho kuwa ni jambo jema.

Ni jambo jema kwa kuwa Rais ameachana na siasa za mitulinga. Tumefikia hatua hii kwa jasho na damu, tumelipa gharama hapa tulipofika " alisema kiongozi huyo.

Aliongeza kuwa Mbinu na mikakati iliyotumika kuishi wakati za awamu ya tano haiwezi kuzaa matunda wakati wa awamu ya sita kwani wakati huo tuliamua kubadilika kwa ajili ya Individual survival.

Jambo hili limeungwa mkono na wadau mbali mbali wa siasa na watanzania woote wakidai kuwa sasa tunaelekea Tanzania Mpya.

Wito kwa vyombo vingine vya serikali viige mfano mwema wa Rais Samia.

Wikendi njema
Ni jambo jema kwa kuwa Rais ameachana na siasa za mitulinga. Tumefikia hatua hii kwa jasho na damu, tumelipa gharama hapa tulipofika " alisema kiongozi huyo.
 
Hata Kikwete alisha wahi sema kuwa ukitaka kula nawe unaliwa,mkapa aliwahi kuwaita Wapinzani ni wapumbavu, Lissu aliwahi kuwaita Maprofessors rubbishy,hizo ndizo kauli za wanasiasa inategemea kahamukaje Siku hiyo, lakini JPM aliwashauli mapema chadema kuwa tutangulize taifa Kwanza vyama vyetu badae wakaleta nyodo,wakadhani Magufuli atakuwa mwepesi Kama Kikwete,kilichofuata kila Mtu anajua,eti sasahivi Ndio wanataka siasa za kistarabu, mbona walikataa tangu mwanzo?ngoja mwone Mbowe anakwemda kuwa kama mrema, kutegemea fadhila za ccm ili apate ubunge wa viti maarumu,unacheza na ccm yetu macho,hata mwanzo Wakati wanamkaribisha Lowassa tulisema tukatukanwa hivi hivi, lakini mpaka Sasahivi chama hutujui kinasimamia Nini,kimebaki kudandia hoja za kila Mtu, lakini mwanzo tulijua chadema inapingana na ufisadi na rusha iliinuka kupitia agenda hizo.

Narudia tena, magu hakuwa mwanasiasa bali limbukeni wa madaraka. Kwa sasa wapinzani wanataka siasa za kistaarabu maana dalili wangalau zipo. Wapinzani walipoenda kutaka maridhiano kwenye sherehe ya uhuru kule Mwanza, hilo dubwasha lako lilitaka? Weka uzi hapa uliosema kuhusu ujio wa Lowassa kama sio bendera fuata upepo. Ww mwenyewe umejiunga hapa jukwaani 2020, sasa hayo ya Lowassa uliyaongelea wapi na nani?

Unachokiongea hapa ni hadithi zilezile za kuokota huku mitandaoni kwamba chama kinadandia kila hoja wala hujui kinasimia nini. Nikikuuliza kama umesoma sera zao wala hujasoma, nikikuuliza kama umesoma ilani yao wala hujasoma. Bali unashinda hapa jukwaani kuukoteza maneno ya kila kada wa ccm na ww ndio unajengea hoja humo humo. Ni hivi, ww huna ujualo zaidi ya kupiga siasa za kichovu hapa jf.
 
Back
Top Bottom