Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,660
- 218,148
Kesi hiyo inayoendelea leo kwenye Mahakama ya Uhujumu Uchumi chini ya Jaji Mpya Mustapha Siyani , kama kawaida imehudhuriwa na Mabalozi na wawakilishi wa Jumuiya za Kimataifa .
Tayari Mheshimiwa Mbowe amefika ndani ya Mahakama hiyo kwa usikilizaji wa kesi dhidi yake na wenzake watatu .
Endelea kutufuatilia ili kufahamu yanayojiri Mahakamani