Shahidi Msemwa kwenye shauri ndani ya shauri la kesi hii, alikutikana na vitu vya chabo asivyopaswa kuwa navyo kizimbani.
Kwanini utetezi hawakwenda mbele zaidi kuhitaji kumkagua thoroughly kujiridhisha na kuvipata vyote?
Kwanini simu alirejeshewa bila kuwa imefanyiwa dodoso lolote?
Kwanini diary haikukaguliwa jana hiyo hiyo au hata kuchukuliwa snapshots zozote?
Usalama wa diary hii uko vipi mikononi mwa store ya mahakama iliyotoa detention register mapema kinyume cha utaratibu majuzi tu?
Nani anaamimika wapi kwenye kesi hii?
Hakujakabidhiwa fisi hapa, kutulindia bucha?
-----------
Msingi wa hoja:
Kesi ya Mbowe: Ushauri wa Bure kwa Mawakili Wasomi - Utetezi
Kwanini utetezi hawakwenda mbele zaidi kuhitaji kumkagua thoroughly kujiridhisha na kuvipata vyote?
Kwanini simu alirejeshewa bila kuwa imefanyiwa dodoso lolote?
Kwanini diary haikukaguliwa jana hiyo hiyo au hata kuchukuliwa snapshots zozote?
Usalama wa diary hii uko vipi mikononi mwa store ya mahakama iliyotoa detention register mapema kinyume cha utaratibu majuzi tu?
Nani anaamimika wapi kwenye kesi hii?
Hakujakabidhiwa fisi hapa, kutulindia bucha?
-----------
Msingi wa hoja:
Kesi ya Mbowe: Ushauri wa Bure kwa Mawakili Wasomi - Utetezi