johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,995
Tunakumbushana tu kwa sababu Bavicha ni Wasahaulifu sana
Haijulikani ni kwanini Kibatala alimpanga Ole Sabaya kwenye orodha ya mashahidi wa Mbowe kwenye Kesi ya Ugaidi ila cha muhimu Ole Sabaya angepanda kizimbani kumtetea Mbowe
Siku zote Maridhiano yana faida kubwa na gharama kidogo kwahiyo Bavicha ombeni George Sanga aachiwe Huru Kule Njombe kama ni kweli hakumuuwa Diwani
Nawatakia Juma Takatifu Lenye Baraka tele!
Haijulikani ni kwanini Kibatala alimpanga Ole Sabaya kwenye orodha ya mashahidi wa Mbowe kwenye Kesi ya Ugaidi ila cha muhimu Ole Sabaya angepanda kizimbani kumtetea Mbowe
Siku zote Maridhiano yana faida kubwa na gharama kidogo kwahiyo Bavicha ombeni George Sanga aachiwe Huru Kule Njombe kama ni kweli hakumuuwa Diwani
Nawatakia Juma Takatifu Lenye Baraka tele!