Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 1,123
- 1,917
Kenya kukubali haki za mashoga ni jambo la aibu sana kwa vizazi vijavyo, labda wanaharakati wa mashoga ni wale wanaume ambao hawazai au hawatazaa, kwasababu kitendo cha kuona mtoto uliyemzaa anakuwa shoga ni kitendo cha aibu sana, inafikia mahali nchi hiyo mashoga wanafungua forum yao inayoitwa Pamoko LGBTQ hii ni hatari sana, wazazi na walezi tujitahidi kuwa makini na malezi ya watoto wetu