Kenya kukubali haki za mashoga ni jambo la aibu sana

Mr Why

JF-Expert Member
Nov 27, 2019
1,123
1,917
Kenya kukubali haki za mashoga ni jambo la aibu sana kwa vizazi vijavyo, labda wanaharakati wa mashoga ni wale wanaume ambao hawazai au hawatazaa, kwasababu kitendo cha kuona mtoto uliyemzaa anakuwa shoga ni kitendo cha aibu sana, inafikia mahali nchi hiyo mashoga wanafungua forum yao inayoitwa Pamoko LGBTQ hii ni hatari sana, wazazi na walezi tujitahidi kuwa makini na malezi ya watoto wetu
 
Aisee kweli kizazi cha nyoka kinakuja hii hatari
Sana, mbaya zaidi wanaohimiza ni wazungu wa Marekani wenye mamlaka makubwa na wanaomiliki fedha nyingi, juzi kati mke wa Biden alikuwa huko labda ndo kaenda kupigilia msumari
 
Kenya kukubali haki za mashoga ni jambo la aibu sana kwa vizazi vijavyo, labda wanaharakati wa mashoga ni wale wanaume ambao hawazai au hawatazaa, kwasababu kitendo cha kuona mtoto uliyemzaa anakuwa shoga ni kitendo cha aibu sana, inafikia mahali nchi hiyo mashoga wanafungua forum yao inayoitwa pamoko lgbtq hii ni hatari sana, wazazi na walezi tujitahidi kuwa makini na malezi ya watoto wetu
Wakati serikali yako imeridhia kimya kimya miaka mingi?
Mbona husemi ni aibu ya Tanzania?
Rejea waraka wa 2018 uliompinga Makonda
 
Marcus
FB_IMG_1677059366127.jpg
 
Oya sasa wadada wa kenya tunakuja waume zenu kutoka bongoland naona kaka zenu wanataka kuwa kama afande wa zenji
 
Watanzania tunabwabwaja lakini serikali iko kimya sababu ilishaini kitambo sana.

Wakaka upo wadau wataurusha huku.
Nikiona
cocastic ameurusha mara 2
Hata kama upo serikalini utaanzaje kwenda hewani kuzungumzia ufiraji?
 
Hata kama upo serikalini utaanzaje kwenda hewani kuzungumzia ufiraji?
Sasa mbona kwenye mikataba wamesaini?
Wewe pambana na maadili ya familia yako taifa lilishauzwa Ulaya na marekari kupitia misaada
 
Kenya kukubali haki za mashoga ni jambo la aibu sana kwa vizazi vijavyo, labda wanaharakati wa mashoga ni wale wanaume ambao hawazai au hawatazaa, kwasababu kitendo cha kuona mtoto uliyemzaa anakuwa shoga ni kitendo cha aibu sana, inafikia mahali nchi hiyo mashoga wanafungua forum yao inayoitwa Pamoko LGBTQ hii ni hatari sana, wazazi na walezi tujitahidi kuwa makini na malezi ya watoto wetu
Kenya kuna uhuru wa mahakama sio kama TZ. Mahakama kuu ilitoa uamuzi kuhusu haki za mashoga ila hilo halimaanishi kwamba Kenya imekubali. Tayari rais amesema licha ya kuheshimu mahakama, yeye binafsi hakubaliani.
 
Back
Top Bottom