Kelele zimesaidia.. Hatimaye amedakwa

Kelele zimesaidia.. Hatimaye amedakwa

Hongera Jeshi letu liko faster kweli katika kukamata wahalifu!
 
Kosa lake ni kufanya dhihaka dhidi ya dini za watu!!

Ile ni dhihaka kabisa, hana adabu!
 
KAMA MUNGU YUPO KUNA WATU HAWATAUONA UFALME WA MUNGU............................ KWA LISU ........ WASIOJULIKANA, haya mambo ya kipuuzi wameshupalia WANAJULIKANA...........
Imani yake inamtuma hivyo, amevunja sheria ipi?
 
Kosa lake ni kufanya dhihaka dhidi ya dini za watu!!

Ile ni dhihaka kabisa, hana adabu!
True ni dhihaka,maana maadili ya mafundisho yake hayaendani na biblia,kuamasisha uzinzi na ulezi.Mungu adhihakiwi.
 
Habari za hivi punde ni kwamba jamaa anapelekwa mirembe
 
Kusimama sawa tatizo ni kusimama kwa kujiegemeza kwa wenzio...Huyu mtu kavuka mipaka ya maadili maana kama ni imani siioni kwake....
Huyu ni sawa tu na wanyoa viduku. Hakuna namna ya kum-charge na akapatikana na hatia
 
Mimi binafsi sioni kosa la huyo nabii. Ni nabii kama manabii wengine maarufu tunaowajua. Kila muumini kwa sababu zake binafsi anakuwa ameridhika kumwamini ama kutomwamini na kuendelea na imani yake.Tatizo sio lake ila linaweza kuwa ni la waumini watakaokuwa wameamua kumwamini. Polisi walichotakiwa kufanya kwake ni kumwelekeza ni nini anatakiwa kufanya ili asivunje sheria sio kumkataza imani yake na ya watu wake..."Huu ni Ukweli mgumu sana"
 
Mkono u-extend mpaka kwa wengine wa kalilba huyo , wanajifanya kuponya wagonjwa!!
 
Back
Top Bottom