Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 47,775
- 257,516
quimaniner si anayo Mama ako ndio starehe pendwa ya baba ako alikolezwa mpaka ukapatikana weweHoja ilikuwa Nabii Tito.Wewe unaleta upuuzi mwingine.QUIMANINER
quimaniner si anayo Mama ako ndio starehe pendwa ya baba ako alikolezwa mpaka ukapatikana weweHoja ilikuwa Nabii Tito.Wewe unaleta upuuzi mwingine.QUIMANINER
Unachokiandika ndio kinakuvunjia heshima mkuuoyaa hiyo avator yako ya kike inakuvunjia sana heshima
Amanj ipi kaiharibu wakati mahubiri yake ananukuu vifungu vya biblia? Sema Wakristu wanachagua yale wanayoyataka watu wengi kuyasikia kutoka ktk biblia
Alikuwa analazimishwa kukubali kosa kwa nguvuUkiangalia mahojiano Kati ya Nabii Tito v Kamanda Muroto utaona jinsi Kamanda anavyo payuka payuka na kupiga kelele huku huyo wanaetuaminisha ni mental akiwa calm na kujibu maswali kwa akili despite conditions kuto kumfavor!
Ukiangalia vizuri utagundua yeye anaye ulizwa anaonekana yupo timamu zaidi kuliko yule anaye uliza.
Simtetei kabisa lakini nashauri wale tunaojiita WAKRISTO hoja za huyu bwana tuzijibu kwa hoja.
Tusiwe kama CCM kila tukishindwa kujibu hoja tuwatumie polisi.
Kamanda Muroto - "unajua ni kosa!?!?"
Nabii Tito - "ukisha sema ni kosa, wewe Wasema!“
Is this guy crazy au Mmetofautiana tu katika kuielewa na kuitafsiri BIBLE!?!?
hujui kuwa avator ni kitu ambacho kinakutambulisha ingawa tunatumia fake ID ila ukiweka picha ya demu ina reflect wewe in one way or another. Weka avator ya kiume mzeeUnachokiandika ndio kinakuvunjia heshima mkuu
Na hapo ndipo nimeshangaa mkuu...Alikuwa analazimishwa kukubali kosa kwa nguvu
nipe source ya hii habari yakohujui kuwa avator ni kitu ambacho kinakutambulisha ingawa tunatumia fake ID ila ukiweka picha ya demu ina reflect wewe in one way or another. Weka avator ya kiume mzee
nilikuwa nakushauri tu kama unaona poa kuonekana hivyo hiyo ni nafsi yako na nafsi ya mtu ni kichaka imeficha menginipe source ya hii habari yako
watu wengi ndo wamemjulia sasa ilhali wengine tunamjua kitambo kabla haja-pimp ngozi na nywele hizo!Taarifa hii ina mapungufu mengi huyu jamaa kahubiri sana Dar hasa posta Kinondoni Sinza na Mwenge... Alikuwa na nakala za vipeperushi vyake akiuzia kwenye mabar alikuwa buku kila kimoja na mahubiri yake yalikuwa haya haya na ni way back 2010
Huyo hapo na midevu take na ngozi nyeusi to.watu wengi ndo wamemjulia sasa ilhali wengine tunamjua kitambo kabla haja-pimp ngozi na nywele hizo!
dadeki ndo alikuwa katoka Sitimbi naona!😀😀😀Huyo hapo na midevu take na ngozi nyeusi to.
Huyu aweza kushtakiwa kwa udhalilishaji. Yaani kuwa fanya wanawake kama vyombo tu vya matumizi na pia kuchochea ngono kwa binti wadogo