Atapewa makosa kama akina Gigy money - kula denda na kurusha mitandaoni. Huyo akitoka selo, lazima naibu waziri wa utamaduni bibi Shonza nae amuite ofisini kwake🙂Double standards... Pengine kudhalilisha imani ama kukosa kibali
umenifanya kurudi kumwangalia jamaa na kachumbali yake ya suti, nimecheka sanaNdo kazi wanayoiweza hua polisiccm. Mcheki afande Juma pembeni ya kamanda Siro aliyevaa kiraia, hata mkanda aliovaa hauja match na zipu ya suruali, sijui ndo bado ana pombe za jana usiku.
Kosa atakalopewa ni Kuanzisha Kanisa bila Vibali.
Tukupe kazi uwatafute?Waliotaka kumuua lisu mbona mpaka Leo Kimyaaaa.
Huyu jamaa kweli kachafua hali ya hewa mitandaoni.
Hao waliotaka kumuua Lissu walijitangaza hadharani kama huyu?akili za darasa la ngapi sijui hiiWaliotaka kumuua lisu mbona mpaka Leo Kimyaaaa.
Wee atheist ungetulia kwanza.Mbona wengi tu wanazalilisha double standard tu, badala ya kudili na vitu vya msingi wanakimbizana na manabii feki
Bavicha wajinga sana nyie viumbe! Hivi kweli unafananisha hili tukio na la Lisu??Hahahahaa yaani waliomshambulia Tundu lisu walipita getini na getini palikuwa na walinzi hatukuona ghafra bin vuu kama hii kwamba tumuone Afande hapo mbele ya hao walinzi waliokuwepo zamu wakihojiwa na chini ya picha tusome kama ifuatavyo ´mkuu wa majeshi Tanzania mara moja bila kuchelewa awanasa waliokuwa zamu kwenye ulinzi getini pale DODoma
Kelele kama hizi au zaidi ya hizi, kwa washambulizi wa Lissu, pwelepwetee......
Na jinsi alivyojikoboa hana tofouti na machokoKaa jishoga toka kuzimu
Double standards... Pengine kudhalilisha imani ama kukosa kibali