MGILEADI
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,621
- 1,545
Kwa kuharibu amani katika jumuia kwa kutoa matamshi yanayoashiria uvunjifu wa amani. Kiingereza:"DIstortion of public peace through provocative utterances"Huyo nabii watamshtaki kwa kifungu gani cha sheria wakati serikali Haina dini?