Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,163
- 5,765
Dereva wake Lissu anajua walipo, so muulizeni yeye.Waliotaka kumuua lisu mbona mpaka Leo Kimyaaaa.
Dereva wake Lissu anajua walipo, so muulizeni yeye.Waliotaka kumuua lisu mbona mpaka Leo Kimyaaaa.
Huyu aweza kushtakiwa kwa udhalilishaji. Yaani kuwa fanya wanawake kama vyombo tu vya matumizi na pia kuchochea ngono kwa binti wadogoMbona wengi tu wanazalilisha double standard tu, badala ya kudili na vitu vya msingi wanakimbizana na manabii feki
Wacha upuuziDereva wake Lissu anajua walipo, so muulizeni yeye.
Hivi huyu mtu analo hata jengo la ibada?
Sioni sababu ya serikali kulichukua hili swala, waachie wenye dini yao wamalizane nae, kuna mmoja aliibuka akadai yeye ni mtume wa waisilam mbona waisilam walimmaliza kwa hoja tu na aliomba radhi. Watu wa aina hii walikuwepo want na wataendelea kuwepo.Huyo nabii watamshtaki kwa kifungu gani cha sheria wakati serikali Haina dini?
Labda lisu ni state enemyWaliotaka kumuua lisu mbona mpaka Leo Kimyaaaa.
Ibada zake ànafanyia kwenye mabar,na wafadhiIi wake ni walevi.Hivi huyu mtu analo hata jengo la ibada?
Eh!shikamoo.....Jf memberKaa jishoga toka kuzimu
Wauaji wa Tundu wanarusha picha zao mtandaoni?Waliotaka kumuua lisu mbona mpaka Leo Kimyaaaa.
Wapo mitaa ya Ufipa pale Kinondoni. Siku likiibuka ndo utawajua live.Waliotaka kumuua lisu mbona mpaka Leo Kimyaaaa.
Cheki jamaa anavyotia huruma aisee,hapo waliosomea sycology wameshaelewa huyu kichwani ni debe tupu
Ibada zake anafanyia barHivi huyu mtu analo hata jengo la ibada?