Biohazard
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 2,197
- 1,459
Ur missing a point hapa, hewa hiyo inatoka kwenye mfumo wa exhaust ndo maana inakua na joto.Intercooler hiyo!! Inapoza hewa inayoingia kwenye engine kwa kusukumwa/kugandamizwa na na Turbocharger! Ikipanda joto.
Ukisema joto linatokana na mgandamizo au hewa ikipata joto unakosea mkuu