Kazi ya hilo tundu kwenye gari ni nini?

Kwa ninavyofahamu mimi kazi ya hilo tundu ni kwenda kupooza hewa iliyofuliwa na turbocharger ya gari. Hewa huwa inapata moto sana pale ambako kunatokea mgandamizo, lengo la kupooza ni kwamba hewa huungua vizuri na mafuta pale ambapo hewa inakuwa katika kiwango fulani cha joto na si zaidi ya hapo. Nafikiri utakuwa umenielewa na si kupooza engine kama ilivyoelezwa hapo juu.

Safi unamuelekeo mzuri wa jibu, hewa yenye joto engine huwa na ngu ndaifu kwakuwa hewa yamoto huwa imeexpand na kuchukua eneo kubwa kwa ujazo hivyo husababisha ratio ya mafuta kwa hewa kuwa kubwa resulting to low efficiency , na turbo hugamiza hewa kuingia kwenye ingia kwa kiasi kukubwa na machine zake huzungushwa na hewa inayotoka kwenye exorce (ndo mana huwa inachelwa kuchanganya) ( nilisoma urubani kuna somo linaitwa Aircraft technical and Maintainance tunasoma engine mbalimbali)
 
Kwenye vi_sport cars na hyper cars kama Ferrari, Lamborghini, Bugatti, etc inakuaga ubavuni. Ila the same function
 
Kwa ninavyofahamu mimi kazi ya hilo tundu ni kwenda kupooza hewa iliyofuliwa na turbocharger ya gari. Hewa huwa inapata moto sana pale ambako kunatokea mgandamizo, lengo la kupooza ni kwamba hewa huungua vizuri na mafuta pale ambapo hewa inakuwa katika kiwango fulani cha joto na si zaidi ya hapo. Nafikiri utakuwa umenielewa na si kupooza engine kama ilivyoelezwa hapo juu.
Kwa ivo kazi yake ni sawa na mkonga kwenye L/criserr
 
Dhima ya tundu hilo ni kuruhusu na kuichannel hewa iingie kwa wingi kwenye engine ili iweze kuongeza uchomaji wa mafuta na kupelekea kutengeneza nguvu zaidi..
Kwa nijuavyo lakini..wasikilize na wengine
Kwa kifupi ni TURBO
 
Kwa ivo kazi yake ni sawa na mkonga kwenye L/criserr
Mkuu mkonga kazi yake ni kama pua kuvuta hewa ndani ili kufacilitate combustion kwenye engine.

Nadhani utanielewa maana ya kuvuta hewa na sio kuingiza hewa. Yani inavuta hewa kama pua

Ukiziba ukiziba aircleaner engine mwisho wa cku inazima.
 
Mkuu mkonga kazi yake ni kama pua kuvuta hewa ndani ili kufacilitate combustion kwenye engine.

Nadhani utanielewa maana ya kuvuta hewa na sio kuingiza hewa. Yani inavuta hewa kama pua

Ukiziba ukiziba aircleaner engine mwisho wa cku inazima.
Asante mkuu kwa kunielimisha kwa hilo
 
Inaitwa intercooler kama mdau namba moja hapo juu alivyotoa ufafanuzi ni inlet ya hewa pia inaongeza performance ya ziada ya injini.
 
Hewa ambayo inaingia hapo inaenda kwenye oil cooler moja kwa moja na siyo kwa aircleaner. Hapo hamna air cleaner kuna oilcooler.
 
Air Cleaner ilipo.. hata DCM za gongo la mboto zina mikonga yenye matundu..
 
Hilo tundu sio la turbo charger sababu turbo huwa inaelekea katika aircleaner hivyo inavuta hewa yake kupitia aircleaner!

6546d6b3b63887792272533a716404b3.jpg

hilo tundu ktk bonet huwa ni injection ambalo husaidia pia kuvuta hewa nyingi kupeleka ktk engine
a198a783cb709c55bc5207f81760a5cb.jpg
Ahaha nimekumbuka movie ya Mad Max: Fury Road. Ukiimwagia maji gari inaongeza speed.
 
Kwa kifupi ni TURBO
Mkuu hiyo kitu sio turbo mkuu.

Inaitwa intercooler.

Kazi yake ni ku cool hewa yenye joto kali sana inayokua redirected kwenda kwenye engine from turbo charger.

Kwann hewa inakua na joto?

Ans: Turbo charger inakua na turbines ambazo zinafua hewa kutoka kwenye exhaust system na kuirudisha kwenye engine. Kumbuka hewa hiyi inakua na joto kali sana linaweza fika hata 1000°c .

Hewa hiyo kabla ya kufika kwenye engine inapozwa na huo mfumo ili ifike katika engine na temperature ambayo haitodhuru engine na kuongeza efficience zaidi ya uchomaji wa mafuta katika engine hence nguvu ya kutosha inatokea kwenye engine.

Turbo kit ni component nyingine kabisa mkuu.

Na intercooler pia ni component ya kupooza hewa inayofuliwa na turbo kwenda kwenye engine.

Eid Mubarak
 
hilo tundu kazi yake huwa lina pooza intercooler.

ipo hivi ukifungua bonet utaona juu ya engine usawa wa hilo tundu kuna kitu kipo/kimefungwa kama rejeta hivi.sasa hiyo iliyokuwa kama rejeta ndio huwa inapoozwa na hewa kutoka nje kupitia hilo tundu.tuseme hilo tundu huwa linaact kama feni ya engine ambayo huwa inafanya kazi ya kupooza maji yaliyopo kwenye rejeta ili yawe ya baridi.

hivyo na hilo tundu huwa lina ingiza hewa ambayo huwa inapooza hewa inayokuwa ndani ya intercooler ili iwe ya baridi .maana hewa ikiwa ya baridi ndio ufanisi mzuri wa kuchomwa hufanyika vizuri.
Ongezea hivi..... Chini ya hicho kitu kama rejeta kuna feni ambayo inavuta hiyo hewa na kuiingiza kwenye engine kiurahisi zaidi.
 
Mkuu hiyo kitu sio turbo mkuu.

Inaitwa intercooler.

Kazi yake ni ku cool hewa yenye joto kali sana inayokua redirected kwenda kwenye engine from turbo charger.

Kwann hewa inakua na joto?

Ans: Turbo charger inakua na turbines ambazo zinafua hewa kutoka kwenye exhaust system na kuirudisha kwenye engine. Kumbuka hewa hiyi inakua na joto kali sana linaweza fika hata 1000°c .

Hewa hiyo kabla ya kufika kwenye engine inapozwa na huo mfumo ili ifike katika engine na temperature ambayo haitodhuru engine na kuongeza efficience zaidi ya uchomaji wa mafuta katika engine hence nguvu ya kutosha inatokea kwenye engine.

Turbo kit ni component nyingine kabisa mkuu.

Na intercooler pia ni component ya kupooza hewa inayofuliwa na turbo kwenda kwenye engine.

Eid Mubarak
Thanks for Clarification.
Hope Eid was OK.
Shawal Njema.
 
Intercooler hiyo!! Inapoza hewa inayoingia kwenye engine kwa kusukumwa/kugandamizwa na na Turbocharger! Ikipanda joto.
 
Kwa ninavyofahamu mimi kazi ya hilo tundu ni kwenda kupooza hewa iliyofuliwa na turbocharger ya gari. Hewa huwa inapata moto sana pale ambako kunatokea mgandamizo, lengo la kupooza ni kwamba hewa huungua vizuri na mafuta pale ambapo hewa inakuwa katika kiwango fulani cha joto na si zaidi ya hapo. Nafikiri utakuwa umenielewa na si kupooza engine kama ilivyoelezwa hapo juu.
Sahihi kabisa!
 
Back
Top Bottom