Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,253
Hallo wakuu, nna shost yangu wa ukweli kaniomba ushauri huu hapa chini,
Yeye kazi yake anayofanya haimbani sanaa na anakaa ofisini kwa muda wa masaa Kumi hadi kumi na Moja kila siku.
Sasa anatafuta shughuli ya kumwingizia kipato anayoweza kufanya akiwa hapo hapo ofisini kwake.
Nikaona bora nije huku kwenye wazoefu mbali mbali na wa fani tofauti tofauti nimpatie ushauri wenu.
Asante
Yeye kazi yake anayofanya haimbani sanaa na anakaa ofisini kwa muda wa masaa Kumi hadi kumi na Moja kila siku.
Sasa anatafuta shughuli ya kumwingizia kipato anayoweza kufanya akiwa hapo hapo ofisini kwake.
Nikaona bora nije huku kwenye wazoefu mbali mbali na wa fani tofauti tofauti nimpatie ushauri wenu.
Asante