Kazi gani ya kufanya ndani ya kazi nyingine

kumbe kajiajiri tayari,nilijua ni muajiriwa ofisi flani..

kama kajiajiri basi aseme ni biashara gani anayofanya au aliojiajiri nayo kisha tumshauri biashara ya kufanya ndani ya biashara yake hiyo hiyo.

huwezi mshauri muuza mkaa au pumba za kuku auze chakula hapo hapo ofisini HAIWEZEKANI lazima ushauri ataopewa uendane au ukaribiane na biashara hiyo hiyo anayoifanya sasa hivi.
Akikujibu naomba unitag
Ni wakala wa mitandao ya simu
 
Ni wakala wa mitandao ya simu
wakala wa mitandao ya simu! Anakaaa kazini masaa 10 - 11 kisha anafunga na ofisi ni yake kajiajiri Muulize yuko serious na biashara kweli?

Mfate mwambia controla kakuuliza eti uko serious na biashara? anafungua ofisi kwa masaa 10-11 kweli jamani?! Asee mimi simshauri hata biashara ingine ya kufanya mwambie NIMEGOMA kutoa mawazo yangu.

yani mtu unafungua ofisi saa 1 unafunga saa 11 jioni,halafu unasema unatafuta biashara ingine ya kufanya uongeze kipato,Biashara ingine ipi utakayoiweza wewe kama mchana tu kwenye MWANGA wa sir GOD unashndwa kukaza,unataka biashara za kuanzia 11 jioni..Huwezi na hatoweza.

ana tofauti gani sasa na mtu kajifungia ndani anasema hajala siku nzima halafu kwenye friji ana viporo vya wali,pilau,mboga za majani,nk halafu analalamika njaa inamuuma,ana tofauti gani na huyo mtu sasa huyo shosti ako?!

sipendi watu wasio na bidii ktk kutafuta maisha mimi basi tu.
 
wakala wa mitandao ya simu! Anakaaa kazini masaa 10 - 11 kisha anafunga na ofisi ni yake kajiajiri Muulize yuko serious na biashara kweli?

Mfate mwambia controla kakuuliza eti uko serious na biashara? anafungua ofisi kwa masaa 10-11 kweli jamani?! Asee mimi simshauri hata biashara ingine ya kufanya mwambie NIMEGOMA kutoa mawazo yangu.

yani mtu unafungua ofisi saa 1 unafunga saa 11 jioni,halafu unasema unatafuta biashara ingine ya kufanya uongeze kipato,Biashara ingine ipi utakayoiweza wewe kama mchana tu kwenye MWANGA wa sir GOD unashndwa kukaza,unataka biashara za kuanzia 11 jioni..Huwezi na hatoweza.

ana tofauti gani sasa na mtu kajifungia ndani anasema hajala siku nzima halafu kwenye friji ana viporo vya wali,pilau,mboga za majani,nk halafu analalamika njaa inamuuma,ana tofauti gani na huyo mtu sasa huyo shosti ako?!

sipendi watu wasio na bidii ktk kutafuta maisha mimi basi tu.
Hapana anafungua saa moja asubuhi anafunga ofisi saa mbili usiku, sasa anataka ajiongeze kidogo angalau kwa siku asikose elf tano ya pembeni
 
wakala wa mitandao ya simu! Anakaaa kazini masaa 10 - 11 kisha anafunga na ofisi ni yake kajiajiri Muulize yuko serious na biashara kweli?

Mfate mwambia controla kakuuliza eti uko serious na biashara? anafungua ofisi kwa masaa 10-11 kweli jamani?! Asee mimi simshauri hata biashara ingine ya kufanya mwambie NIMEGOMA kutoa mawazo yangu.

yani mtu unafungua ofisi saa 1 unafunga saa 11 jioni,halafu unasema unatafuta biashara ingine ya kufanya uongeze kipato,Biashara ingine ipi utakayoiweza wewe kama mchana tu kwenye MWANGA wa sir GOD unashndwa kukaza,unataka biashara za kuanzia 11 jioni..Huwezi na hatoweza.

ana tofauti gani sasa na mtu kajifungia ndani anasema hajala siku nzima halafu kwenye friji ana viporo vya wali,pilau,mboga za majani,nk halafu analalamika njaa inamuuma,ana tofauti gani na huyo mtu sasa huyo shosti ako?!

sipendi watu wasio na bidii ktk kutafuta maisha mimi basi tu.
Mzee Controla Mimi Sijakuelewa bado Labda utupe ufafanuzi, Sasa kosa lake liko Wapi kufungua saa 1 mpaka 11/12
 
Hallo wakuu, nna shost yangu wa ukweli kaniomba ushauri huu hapa chini,

Yeye kazi yake anayofanya haimbani sanaa na anakaa ofisini kwa muda wa masaa Kumi hadi kumi na Moja kila siku. Sasa anatafuta shughuli ya kumwingizia kipato anayoweza kufanya akiwa hapo hapo ofsini kwake. Nikaona bora nije huku kwenye wazoefu mbali mbali na wa fani tofauti tofauti nimpatie ushauri wenu.

Asante
kubeti mkuu, kama nimfuatilijia mzuri wa kandanda
 
Hapana anafungua saa moja asubuh anafunga ofisi saa mbili usiku, sasa anataka ajiongeze kidogo angalau kwa siku asikose elf tano ya pembeni
akifungua saa 7:00am - 8:00pm ni masaa 14

wewe umesema muda wake wakukaa ofisini ni masaa 10 - 11 ina maana akifunga saa 10 = (masaa 10) akifunga 11 (masaa 11) akifunga saa mbili usiku (masaa 14).
 
Hallo wakuu, nna shost yangu wa ukweli kaniomba ushauri huu hapa chini,

Yeye kazi yake anayofanya haimbani sanaa na anakaa ofisini kwa muda wa masaa Kumi hadi kumi na Moja kila siku. Sasa anatafuta shughuli ya kumwingizia kipato anayoweza kufanya akiwa hapo hapo ofsini kwake. Nikaona bora nije huku kwenye wazoefu mbali mbali na wa fani tofauti tofauti nimpatie ushauri wenu.

Asante
Zipo kazi nyingi anazo weza kufanya kwa kuzingatia uwezo na fursa zinazomzunguka.Iwapo yupo seriou basi anaweza kunipigia kwa simu namba 0710323060.Kuna uwezekano akapata jambo Jipya.
 
hilo nimeshaliona mapema sana,mimi ndio mana nawambiaga watu wafungue ID mbili mbili ukiwa na ID 1 unakua unashndwa weka mambo ktk hali ya ukweli basi unajikuta unajikanyaga mwenyewe.
Inawezekana hio biashara anaifanya yeye mwenyewe au mtu wake wa karibu ndio maana hataki kuwa muwazi
Hapana Mkuu, sifanyi hiyo shughuli, mi nimeajiriwa kwenye ofisi ya mtu na pia ni mfugaji wa kuku wa nyama
 
ajaribu kuuza vitu vya wadada kwa mkopo wa mwezi. vitu kama mapochi, vitenge, viatu nk. binafsi nilifanya ila nikaacha mwaka jana wengine maofisini wagumu kulipa inataka kukomaa.
Biashara ya kukopesha sio biashara. Unless uuze cash kwa watu 4 then ukopeshe 1. Otherwise ni maumivu tu
 
wakala wa mitandao ya simu! Anakaaa kazini masaa 10 - 11 kisha anafunga na ofisi ni yake kajiajiri Muulize yuko serious na biashara kweli?

Mfate mwambia controla kakuuliza eti uko serious na biashara? anafungua ofisi kwa masaa 10-11 kweli jamani?! Asee mimi simshauri hata biashara ingine ya kufanya mwambie NIMEGOMA kutoa mawazo yangu.

yani mtu unafungua ofisi saa 1 unafunga saa 11 jioni,halafu unasema unatafuta biashara ingine ya kufanya uongeze kipato,Biashara ingine ipi utakayoiweza wewe kama mchana tu kwenye MWANGA wa sir GOD unashndwa kukaza,unataka biashara za kuanzia 11 jioni..Huwezi na hatoweza.

ana tofauti gani sasa na mtu kajifungia ndani anasema hajala siku nzima halafu kwenye friji ana viporo vya wali,pilau,mboga za majani,nk halafu analalamika njaa inamuuma,ana tofauti gani na huyo mtu sasa huyo shosti ako?!

sipendi watu wasio na bidii ktk kutafuta maisha mimi basi tu.
Mbona unamfokea mtu usiemjua jaman. Je kama ni mke wa mtu anatakiwa awahi kurudi nyumbani? Je kama ana mgonjwa au watoto wadogo? Don't be so judgemental when u don't know the real story. Hayo masaa yanatosha kabisa kupata riziki kama ipo.

Anyways kama ataweza aweke friji auze vinywaji hapo, au aweke computer awe ana burn movie, series,music etc... muhimu aangalie eneo alipo na uhitaji wa watu wa hapo
 
Back
Top Bottom