Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Hata huelewi maana ya tafsir, sherehe hebu soma matini View attachment 609798 soma pronunciation
983a88bf1e98e39a52cebeb7c058f059.jpg
halafu endelea kubishia
Toka hapa. Shenzy wewe...kawadanganye wasiojua..
Hebu wafafanulie wasiojua kiarabu huo utumbo uliouketa tena. Maana ni uharo mtupu!
Wewe umesema Allah anaapa kwa dhakar. Mbona umeanza kuleta janja hapo? Toa andiko linavyosema...
Kama hujui ni 92:3 Quran. Haya hebu leta andiko hilo kwa kiswahili watu wote waelewe.
Tunalisubiri.....
 
Toka hapa. Shenzy wewe...kawadanganye wasiojua..
Hebu wafafanulie wasiojua kiarabu huo utumbo uliouketa tena. Maana ni uharo mtupu!
Wewe umesema Allah anaapa kwa dhakar. Mbona umeanza kuleta janja hapo? Toa andiko linavyosema...
Kama hujui ni 92:3 Quran. Haya hebu leta andiko hilo kwa kiswahili watu wote waelewe.
Tunalisubiri.....
Naapa kwa Aliyeumba kike na kiume al layl:3 hoja
 
We unaujua ukristo? Basi wewe Upo nyuma sana.
Hakuna hatred hapo ni vitu vya kweli na vinafanywa kila siku hakuna utakatifu huku ni mlevi hakuna ondoleo la dhambi ama kukiri dhambi mbele ya binadamu kwenye ukristo mkuu
 
Mkuu mimi sijui kitu kabisa ndiyo maana nipo hapa kujifunza kama wana JF wengine. Japo nikushukuru kwa kunipa sifa nzuri, Ahsante sana na Ubarikiwe!

Pili ondoa shaka mkuu,
Mimi siyo Zitto Zuberi Kabwe Ruyagwa na wala hatufahamiani hata kidogo na kubwa zaidi mimi siyo mwanasiasa. Mimi ni Mhaya kutoka huko Kagera na Zitto ni Muha kutoka Kigoma!

Cheers mkuu!
Hata mimi nakukubali sana!
Tasibota
 
Hivi mbona unamuendekeza huyu mpuuzi? Sisi wakristo tunaamini Yesu ni Mungu, we we inakuwasha nini? Huwezi na huruhusiwi kutukosoa, sisi Ata Hugo Muhammad hatumtambui na hatumuamini Ata chembe , somo LA trinity lilimshinda we ndo utaliweza? Alafu unafahamu kwanini salman Rushdie amewekewa fatwa? Ni kwa sababu aliandika the satanic verses of Islam, pale Muhammad alipowaambia waquraysh wanaweza kuabudu ile miungu yao mi3o ya masanamu baada yakuona anapingwa na kutengwa na watu wa kabila lake, ila mistari ile ikaamuliwa isiandikwe kwenye Koran ,shetani alimpitia. Sasa tuna uhakika gani kuwa yote aliyonena yanatoka kwa Mungu? Kama si mapepo. Kwa mrejesho kasome the story of gharaniq! Tunawavumilia tu.
Acha kututapeli wewe bwege. Tangu lini Yesu akawa Mungu? Unaleta uongo hapa...swine!
 
Hivi mbona unamuendekeza huyu mpuuzi? Sisi wakristo tunaamini Yesu ni Mungu, we we inakuwasha nini? Huwezi na huruhusiwi kutukosoa, sisi Ata Hugo Muhammad hatumtambui na hatumuamini Ata chembe , somo LA trinity lilimshinda we ndo utaliweza? Alafu unafahamu kwanini salman Rushdie amewekewa fatwa? Ni kwa sababu aliandika the satanic verses of Islam, pale Muhammad alipowaambia waquraysh wanaweza kuabudu ile miungu yao mi3o ya masanamu baada yakuona anapingwa na kutengwa na watu wa kabila lake, ila mistari ile ikaamuliwa isiandikwe kwenye Koran ,shetani alimpitia. Sasa tuna uhakika gani kuwa yote aliyonena yanatoka kwa Mungu? Kama si mapepo. Kwa mrejesho kasome the story of gharaniq! Tunawavumilia tu.
Weweumesema huamini Quran. Sasa mbona umeyaamini yaliyosemwa Muhammad aliruhusu Mqureish waabudu masanamu yao 3 na kwamba hiyo mistari haikuingizwa kwenye quran? Umeayaamini vipi sasa hayo? Mbona unajichanganya?
 
Tena andiko linasema *Naaapa kwa aliyeumba kike na kiume....*
Anayeapa hapa ni nani? Kwa upotofu wako utakurupuka kujibu....
wewe hujui Kile kike (ontha) kwa hiyo abdul qathem hapa kakurupuka kwa upotevu wake halafu na kijuba chako ndevu kama mtoto wa mbuzi na wewe unanadi na kutamba mtaani huku uswazi mie muisilam msiba unao malyenge
 
wewe hujui Kile kike (ontha) kwa hiyo abdul qathem hapa kakurupuka kwa upotevu wake halafu na kijuba chako ndevu kama mtoto wa mbuzi na wewe unanadi na kutamba mtaani huku uswazi mie muisilam msiba unao malyenge
Wewe lipumbafu mbona hujatafsiri aliposema anaapa kwa usiku na kwa mchana? Tafsiri usiku na mchana ninini kwanza kabla hujaja na tafsiri potofu ya kike na kiume. Acha bangi za Manzese!
 
Weweumesema huamini Quran. Sasa mbona umeyaamini yaliyosemwa Muhammad aliruhusu Mqureish waabudu masanamu yao 3 na kwamba hiyo mistari haikuingizwa kwenye quran? Umeayaamini vipi sasa hayo? Mbona unajichanganya?
Mbona unakuwa kama pilau makinikia kakwambia anaaiamini koloani
 
Hivi mbona unamuendekeza huyu mpuuzi? Sisi wakristo tunaamini Yesu ni Mungu, we we inakuwasha nini? Huwezi na huruhusiwi kutukosoa, sisi Ata Hugo Muhammad hatumtambui na hatumuamini Ata chembe , somo LA trinity lilimshinda we ndo utaliweza? Alafu unafahamu kwanini salman Rushdie amewekewa fatwa? Ni kwa sababu aliandika the satanic verses of Islam, pale Muhammad alipowaambia waquraysh wanaweza kuabudu ile miungu yao mi3o ya masanamu baada yakuona anapingwa na kutengwa na watu wa kabila lake, ila mistari ile ikaamuliwa isiandikwe kwenye Koran ,shetani alimpitia. Sasa tuna uhakika gani kuwa yote aliyonena yanatoka kwa Mungu? Kama si mapepo. Kwa mrejesho kasome the story of gharaniq! Tunawavumilia tu.
Hakuna kitu kinaitwa UTATU MTAKATIFU! Huo ni miongoni wa UONGO HAUJAPATA KUTOKEA KATIKA ULIMWENGU HUU......
 
wewe hujui Kile kike (ontha) kwa hiyo abdul qathem hapa kakurupuka kwa upotevu wake halafu na kijuba chako ndevu kama mtoto wa mbuzi na wewe unanadi na kutamba mtaani huku uswazi mie muisilam msiba unao malyenge
Tafsiri na usiku maana yake nini katika 92:1 Quran. Utawadanganya haohao...
 
Na wanaushawishi mkubwa wakati mwingine kuliko gvt. Rejea muswada wa mahakama ya kadhi, serikali yote:rais,ag,pm wamesema unafaa..wao wakagoma.. kazi ikaishia hapo
 
Hahaha ndo dhehebu pekee lililomwaga na kuendelea kumwaga damu kuliko madhehebu yote dunia..
 
Katoliki ndio dhehebu pekee ambalo pombe inaruhusiwa kunywewa, inabarikiwa na inanywewa na viongozi wao kwa kiasi kikubwa huenda kuliko kinywaji kingine chochote ukiondoa maji.
 
Tafsiri na usiku maana yake nini katika 92:1 Quran. Utawadanganya haohao...
Kama Mimi nadanganya weka ukweli na sio umebakia nadanganya nadanganya+bla bla bla...na uzwazwa...
 
Back
Top Bottom