Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Ni kanisa ambalo Rais wa nchi yoyote akipata nafasi ya kuonana na kiongozi Mkuu wa kanisa hilo, huona bahati kubwa sana maishani mwake,
 
Eeeehhh i see the hatred in this comment


Kuwa mpole mkuu, au tukupe maji ya baridi ushushie sio kwa wivu huo
Hakuna hatred hapo ni vitu vya kweli na vinafanywa kila siku hakuna utakatifu huku ni mlevi hakuna ondoleo la dhambi ama kukiri dhambi mbele ya binadamu kwenye ukristo mkuu
 
Yesu mwenye unamfuata? Hebi toa andiko kwenye biblia Yesu alikula NGURUWE...
Toa andiko hilo.....tuone kwamba kweli wewe wamfuata Yesu....
Upo kwenye
30ef1368d5e50e21591ee81f21525bde.jpg
swali la kwanza nikupe ushahidi wapi Yesu kamla nguruwe ili Mimi niwe Mfuasi wake jibu Biblia Haikuandikwa kwa mapenzi ya mtu malyenge! Labda uniwekee ushahidi humu wapi wewe na Mimi tumepigwa ban tusile nyama ya nguruwe Mkuu
 
Upo kwenye
30ef1368d5e50e21591ee81f21525bde.jpg
swali la kwanza nikupe ushahidi wapi Yesu kamla nguruwe ili Mimi niwe Mfuasi wake jibu Biblia Haikuandikwa kwa mapenzi ya mtu malyenge! Labda uniwekee ushahidi humu wapi wewe na Mimi tumepigwa ban tusile nyama ya nguruwe Mkuu
Umeshindwa kutoa andiko mwana mpagani wewe.....
Sasa mimi ninalo andiko Yesu alikula chakula ambacho si NGURUWE.
We tangu lini ukawa na maandiko zaidi ya michoro tu? Bwege wewe...
 
Basi wewe ni IDIOT! Huwezi kutumia kitu usichokiamini kufundishia. Katika mafala duniani wewe unaongoza MGEN
Nisicho Amini Mimi wengine wanakiamini hivyo natumia wanacho kiamini wengine kuwakaanga kwa mafuta yao
 
Umeshindwa kutoa andiko mwana mpagani wewe.....
Sasa mimi ninalo andiko Yesu alikula chakula ambacho si NGURUWE.
We tangu lini ukawa na maandiko zaidi ya michoro tu? Bwege wewe...
Ubwege wangu ndio Usalama wako...weka andiko wewe na Mimi tumepigwa ban tusile nguruwe, acha bla bla na mbweraa za kwa Mtogole...
 
Kanisa aliloacha Yesu ni visible lazima lionekane kwa macho sio kwa hisia. Soma Mathayo 18: 15-18
Kama ndugu yako akikukosea, nenda ukamwambie kosa lake mkiwa ninyi wawili peke yenu. Akikusikiliza, utakuwa umempata tena ndugu yako. 16 Kama hatakusikiliza, nenda na mtu mwingine mmoja au wawili kusudi wawepo mashahidi wawili au watatu wa kuthi bitisha jambo hilo. 17 Akikataa kuwasikiliza, liambie KANISA. Kama akikataa kulisikiliza kanisa, basi mhesabu yeye kama ni mpa gani au mtoza ushuru.

We kwa akili yako unahisi Yesu alikuwa kichaa au kusema hayo? Kanisa siyo ulimwengu wa kusadikika wa kiroho. Kanisa ni kitu visible n tangible. Nyie jipeni moyo, kanisa ni Moja tu, takatifu LA mitume, aliloachiwa Petro, ukilipinga hili, wokovu wako unakuwa hafifu sana,


Hata matajiri wa enzi hizo walienda kujionyesha makanisani lk makanisa yao ya rohoni yalikuwa machafu yameoza. Why Yesu alifukuza watu waliokuwa wanafanya biashara kanisani if its all about jengo na uliyosema? Refer story ya mama aliyetoa senti mbili kanisani. And tell me kanisa ni hayo yote mnayotaka kuhusu katoliki. “Mwili wako ni hekalu la bwana”
Hekalu = kanisa.
Katoliki ni dhehebu, lutheran ni dhehebu, pentecost ni dhehebu, hawa wote wakikusanyika mahali (ukiondoa udhehebu) tayari ni kanisa. SO yall stop hizo yadayada za katoliki hivi na vile.
 
Ubwege wangu ndio Usalama wako...weka andiko wewe na Mimi tumepigwa ban tusile nguruwe, acha bla bla na mbweraa za kwa Mtogole...
Weka andiko lipi wwe...? Nikiweka utaweza? Mangapi umeshindwa? Hata la Yesu kutahiriwa umeshindwa kutoa. Nakuuliza Yesu alitahiriwa?
 
Nisicho Amini Mimi wengine wanakiamini hivyo natumia wanacho kiamini wengine kuwakaanga kwa mafuta yao
Kukaanga kwa mafuta yao ndio lugha gani wewe mbwa usiye na mkia?
Kukaanga unajua wewe? Mtu mwenye govi anajua kukaanga?
 
Hata matajiri wa enzi hizo walienda kujionyesha makanisani lk makanisa yao ya rohoni yalikuwa machafu yameoza. Why Yesu alifukuza watu waliokuwa wanafanya biashara kanisani if its all about jengo na uliyosema? Refer story ya mama aliyetoa senti mbili kanisani. And tell me kanisa ni hayo yote mnayotaka kuhusu katoliki. “Mwili wako ni hekalu la bwana”
Hekalu = kanisa.
Katoliki ni dhehebu, lutheran ni dhehebu, pentecost ni dhehebu, hawa wote wakikusanyika mahali (ukiondoa udhehebu) tayari ni kanisa. SO yall stop hizo yadayada za katoliki hivi na vile.
Hakuna kitu kinachoitwa KANISA LA ROHONI......
 
Katoliki ni dhehebu pekee ambalo dhambi kubwa kwao ambayo haisamehewi ni KUUA
-katoliki ni dhehebu pekee ambalo humuomba bikira maria awaombee kwa Mungu
-Katoliki ni dhehebu pekee ambalo huabudu sanamu zilizochongwa kwa ustadi wa wanadamu
-Pia ni dhehebu pekee ambalo hata ukifa kwnye dhambi padri akiiombea maiti yako unaenda peponi.
-Ni dhehebu pekee ambalo misa za wafu zinapofanyika marehemu kama alikuwa mwenye dhambi basi dhambi zake hupungua taratibu taratibu mpka mwishowe huisha na mtu huyo huhamishiwa peponi
TUMSIFU YESU KRISTO
 
Katoliki ni dhehebu pekee ambalo dhambi kubwa kwao ambayo haisamehewi ni KUUA
-katoliki ni dhehebu pekee ambalo humuomba bikira maria awaombee kwa Mungu
-Katoliki ni dhehebu pekee ambalo huabudu sanamu zilizochongwa kwa ustadi wa wanadamu
Kwa hiyo Yesu ana nafasi gani kwa Wakatoliki?
 
Ilimu ya Roho huna ila ya kukariri hapo sikubishii..
Ilimu au ELIMU? Mbona hata kiswahili hukijui.....
Wewe huwezi kuwa na elimu ya roho kunizidi mimi. Wewe ni mbwa usiye na mkia...
 
Back
Top Bottom