Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Yesu katahiriwa [emoji117] Lk 2:21 muhammad [emoji15] [emoji101]
Eti wewe ndio unajiina una akili kujua maandiko? Yaani ulipotoa hilo andiko Yesu katahiriwa ungejiuliza Yesu ni nani mpaka atahiriwe...
Na kwa nini asizaliwe akiwa keshatahiriwa.......
Ungeonesha akili kidogo. Lakini kwa kuwa wewe ni zuzu umejiona mjanja.
 
Mungu katahiriwa na wanadamu aliowaumba! Pole sana!
Sio kosa lako ilaha KUNGWI Yako aliye kufunda kuhusu somo la kumjua Mungu Hana SIFA WALA UJUZI WA KUFUNDISHA HILO SOMO...halafu nilikualika uje madrasat nuur bahari jannat upate Ilimu ghaibu umepuuzia...[emoji15] ona sasa umebakia bla bla bla...[emoji4]
 
(1)Ni dhehebu ambalo viongozi wake(Makasisi ) ni watu waliokwenda shule kuliko maelezo.

(2)Ni dhehebu pekee ambalo limejikita sana na ujenzi na uendeshaji wa shule, Hospitali na huduma nyingine za jamii.

(3)Ni dhehebu pekee ambalo limefungua mahusiano ya kibalozi katika nchi nyingi duniani(Ubalozi wa Papa)

(4)Ni dhehebu ambalo baadhi ya TARATIBU zake hutumiwa na mataifa mengi duniani, mfano, Calendar inayotumika mpaka sasa ilianzishwa na Papa Gregory, hivyo inaitwa GREGORIAN CALENDAR.
Ndugu zangu, hayo ni machache tu kuhusu KANISA KATOLIKI.
Kwa asili Wakatoliki wana kipawa cha Uongozi, usimamizi na ustaarabu(utulivu).
 
Sio kosa lako ilaha KUNGWI Yako aliye kufunda kuhusu somo la kumjua Mungu Hana SIFA WALA UJUZI WA KUFUNDISHA HILO SOMO...halafu nilikualika uje madrasat nuur bahari jannat upate Ilimu ghaibu umepuuzia...[emoji15] ona sasa umebakia bla bla bla...[emoji4]
Huyo Mungu wako aliyetahiriwa unaweza kututajia jina la aliyemtahiri Yesu?
 
(1)Ni dhehebu ambalo viongozi wake(Makasisi ) ni watu waliokwenda shule kuliko maelezo.

(2)Ni dhehebu pekee ambalo limejikita sana na ujenzi na uendeshaji wa shule, Hospitali na huduma nyingine za jamii.

(3)Ni dhehebu pekee ambalo limefungua mahusiano ya kibalozi katika nchi nyingi duniani(Ubalozi wa Papa)

(4)Ni dhehebu ambalo baadhi ya TARATIBU zake hutumiwa na mataifa mengi duniani, mfano, Calendar inayotumika mpaka sasa ilianzishwa na Papa Gregory, hivyo inaitwa GREGORIAN CALENDAR.
Ndugu zangu, hayo ni machache tu kuhusu KANISA KATOLIKI.
Kwa asili Wakatoliki wana kipawa cha Uongozi, usimamizi na ustaarabu(utulivu).
Na yeye hiyo kalenda aliikopi kwa wapagani!
 
Eti wewe ndio unajiina una akili kujua maandiko? Yaani ulipotoa hilo andiko Yesu katahiriwa ungejiuliza Yesu ni nani mpaka atahiriwe...
Na kwa nini asizaliwe akiwa keshatahiriwa.......
Ungeonesha akili kidogo. Lakini kwa kuwa wewe ni zuzu umejiona mjanja.
Ktk Ubinadamu wake alitahiriwa bado hujaelewa? lakini muhammad kafa nalo [emoji15] [emoji4]
Azaliwe ametahiriwa kwani nyani..wee vipi dogo...
 
Ktk Ubinadamu wake alitahiriwa bado hujaelewa? lakini muhammad kafa nalo [emoji15] [emoji4]
Katika uungu wake kwa hiyo hakutahiriwa! Siyo? Kwa hiyo Mungu alizaliwa na govi!
 
Ktk Ubinadamu wake alitahiriwa bado hujaelewa? lakini muhammad kafa nalo [emoji15] [emoji4]
Azaliwe ametahiriwa kwani nyani..wee vipi dogo...
Acha kututapeli wewe bwege. Tangu lini Yesu akawa Mungu? Unaleta uongo hapa...swine!
 
Acha kututapeli wewe bwege. Tangu lini Yesu akawa Mungu? Unaleta uongo hapa...swine!
Hili swali unashindwa kujibu...[emoji117] nakubaliana na wewe kwamba Mwanadamu hawezi kuwa Mungu [emoji106] jee Mungu Hana Uwezo wa kuwa Mwanadamu? Naomba jibu[emoji120]
 
Hili swali unashindwa kujibu...[emoji117] nakubaliana na wewe kwamba Mwanadamu hawezi kuwa Mungu [emoji106] jee Mungu Hana Uwezo wa kuwa Mwanadamu? Naomba jibu[emoji120]
Acha ubabaishaji! Yesu siyo Mungu na wala hajawahi kuwa Mungu. Pumba wewe....
 
Acha ubabaishaji! Yesu siyo Mungu na wala hajawahi kuwa Mungu. Pumba wewe....
Yesu ni Mungu Kamili na Mwanadamu Kamili [emoji123] [emoji106] HABARI NDIO HIYO [emoji109] [emoji110] [emoji109] [emoji106] kama hupendi Kunywa sumu ya panya unune teem mkamua ngama apate tenda ya kukukamua...na sisi wengine tuambulie uji kwenye vifuu na maharage ya mbeya..takbirrrrrrrr
 
Yesu ni Mungu Kamili na Mwanadamu Kamili [emoji123] [emoji106] HABARI NDIO HIYO [emoji109] [emoji110] [emoji109] [emoji106] kama hupendi Kunywa sumu ya panya unune teem mkamua ngama apate tenda ya kukukamua...na sisi wengine tuambulie uji kwenye vifuu na maharage ya mbeya..takbirrrrrrrr
Kwa andiko kipi?
 
Yesu ni Mungu Kamili na Mwanadamu Kamili [emoji123] [emoji106] HABARI NDIO HIYO [emoji109] [emoji110] [emoji109] [emoji106] kama hupendi Kunywa sumu ya panya unune teem mkamua ngama apate tenda ya kukukamua...na sisi wengine tuambulie uji kwenye vifuu na maharage ya mbeya..takbirrrrrrrr
Wewe ndio unatakiwa unywe sumu. Kwa maana Yesu si Mungu. Ni umbumbumbu wa wakristo tu ndio wanang'ang'ani hivyo. Poleni sana! Ninyi Mungu wenu anaweza kufa au kujiua halafi akajifufua......
Heeeeheeeee......
 
Wewe ndio unatakiwa unywe sumu. Kwa maana Yesu si Mungu. Ni umbumbumbu wa wakristo tu ndio wanang'ang'ani hivyo. Poleni sana! Ninyi Mungu wenu anaweza kufa au kujiua halafi akajifufua......
Heeeeheeeee......
HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDIWA KWA HAQI ILAHA YESU NA PAULO NI MTUME WAKE[emoji109] [emoji123] [emoji106]
 
Wewe ndio unatakiwa unywe sumu. Kwa maana Yesu si Mungu. Ni umbumbumbu wa wakristo tu ndio wanang'ang'ani hivyo. Poleni sana! Ninyi Mungu wenu anaweza kufa au kujiua halafi akajifufua......
Heeeeheeeee......
Mungu huna, Mtume Huna, Kitabu huna...unapigania kwenda [emoji91] kweli ashki majunun..[emoji15]
 
Back
Top Bottom