Na wewe ni mpumbavu pekee usiyelijua Manisa katoliki .
Katoliki ni dhehebu pekee ambalo dhambi kubwa kwao ambayo haisamehewi ni KUUA
-katoliki ni dhehebu pekee ambalo humuomba bikira maria awaombee kwa Mungu
-Katoliki ni dhehebu pekee ambalo huabudu sanamu zilizochongwa kwa ustadi wa wanadamu
-Pia ni dhehebu pekee ambalo hata ukifa kwnye dhambi padri akiiombea maiti yako unaenda peponi.
-Ni dhehebu pekee ambalo misa za wafu zinapofanyika marehemu kama alikuwa mwenye dhambi basi dhambi zake hupungua taratibu taratibu mpka mwishowe huisha na mtu huyo huhamishiwa peponi
TUMSIFU YESU KRISTO