Hahahaha....Eti kazi ya mikono ya kikatoliki? Mna hulka ya majivuno ambayo ni tabia ya shetani kabisa. Ni bora hata ungesema ni kazi ya Mungu kupitia watumishi wake mbalimbali kama vile mtume Paulo na wengineo.
Dini yoyote ile duniani ikishafikia hadhi ya kujenga taasisi zake basi inakuwa ni zaidi ya kusanyiko la waamini. Hii ndiyo hali halisi kwa Walutheri, Waanglikani, Waislamu na hata wabahai. Hawakutani tu kwa ajili ya kufanya sala,dua au maombezi.Sasa unakubaliana na mm kwamba hawa jamaa ni zaidi ya kusanyiko la waamini?
Hapana si kweli. Kwasababu hata nikikuomba unipe uthibitisho wa unachokisema kwa maandiko hutaweza kunipa.Hahahaha....
Biblia imekuwa compiled karne ya 3 baada ya Kina Paulo na mitume wengine kufa....
Haloo....Biblia ni mali au ni Kitabu cha Wakatoliki...Humo ndani mna vitabu vingi vimeachwa bila kuwekwa kwenye canon unayoina leo...
Katoliki ku-compile bible hakuwapunguzi nyinyi udhehebu wenu(uprotestant)....Ijue historia
Mkuu mimi sijui kitu kabisa ndiyo maana nipo hapa kujifunza kama wana JF wengine. Japo nikushukuru kwa kunipa sifa nzuri, Ahsante sana na Ubarikiwe!Malcom Lumumba Mkuu uko vizuri sana. Hakuna jambo usilolijua. Unaonekana ni mtu unayependa sama kusoma vitabu na mwenye IQ kubwa. Au ni Zitto Kabwe wewe? Naomba nikutembelee kijana wako nina mengi ya kujifunza kutoka kwako.
Sio Kimbali tu ata vita vinavyoendelea sasa ivi world wide nyuma ya ivyo vita wapo wao
Na wanajikweza kwa njia ya kutoa misaada kwa wahanga lakin ukifatilia in deep utaona wao ndio source
Kwanza tukubaliane kutokukubaliana!Zaidi,pitia Roma empire!
Mimi nakuthibitishia kuwa Biblia haijaandikwa na wakatoliki na pia ninyi hamuiamini Biblia wala kuifata;Hahahaha....
Biblia imekuwa compiled karne ya 3 baada ya Kina Paulo na mitume wengine kufa....
Haloo....Biblia ni mali au ni Kitabu cha Wakatoliki...Humo ndani mna vitabu vingi vimeachwa bila kuwekwa kwenye canon unayoina leo...
Katoliki ku-compile bible hakuwapunguzi nyinyi udhehebu wenu(uprotestant)....Ijue historia
Nakushukuru,hasa kwa mda wako mkuu!Tumepingana kwa hoja na tuendelee kupingana kwa hoja namna hiyo.Nakusihi,tuendelee kuupa afya mjadala huu kwa hoja na AMANI.Dini yoyote ile duniani ikishafikia hadhi ya kujenga taasisi zake basi inakuwa ni zaidi ya kusanyiko la waamini. Hii ndiyo hali halisi kwa Walutheri, Waanglikani, Waislamu na hata wabahai. Hawakutani tu kwa ajili ya kufanya sala,dua au maombezi.
Ukisoma The Cambridge Encyclopedia of Religion . Neno “Religion” linatokana na neno la Kilatini “Religare” linalomaanisha Come Together hivyo dhima kuu ya dini ni kufanya kila aina ya shughuli inayoweza kuunganisha Jamii ya watu husika. (Galvanizing Social Cohesion) Huu ndiyo upande moja wa Shilingi katika tafasiri ya dini.
Lakini hata Biblia inasema Dini siyo kitu cha kukufanya wewe uende mbinguni wala hakimtishi Mungu. Kwasababu dini ni chombo cha kuendeshea imani,siasa au kazi za kijamii. Ndiyo maana Biblia ikahamasisha sana na kusema “Dini iliyosafi ni ile ya kwenda kuwaangalia mayatima na wajane katika shida zao”
NB 1: Waislamu, Walutheri,Waanglikan na walokole wote kwao dini ni zaidi ya kusanyiko la waumini kwasababu wote wanafanya kazi nyingine zaidi ya Ibada.
Mfano mzuri tu Kanisa la Anglikani wanasaidia sana Walemavu hapa nchini. Tembelea shule Mbali mbali za viziwi hapa nchini utajionea mwenyewe.
Walutheri wamejenga vyuo kama Makumira na Shuke kama Kidugala ambazo zinasaidia watoto wetu kusoma bila kujali dini zao.
Walokole nao kupitia Shirika la Compassion la Marekani wanasaidia kusomesha watoto walio kwenye Mazingira magumu.
Waislamu ndiyo usiseme kabisa,
Wanasaidia sana kutoa misaada ya kiuchumi kwenye nchi zetu za Afrika hata kama siyo za Kiislamu. Kipindi cha tetemeko la Kagera Falme za Kiislamu zilitoa mapesa kibao tu lakini bahati mbaya hayakuwafikia walengwa.
NB 2: Hivyo mkuu hakuna kitu kipya sana ambacho Rumi iwe nacho na wengine wasiwe nacho. Ndiyo maana walikuwa na ugomvi mkali na waprotestanti kwasababu wote walikuw wanataka kitu kimoja. (Ushawishi,Nguvu na Amri)
Mwaka 1528 kwenye crusade war mapadre wa kiroma walikuwa wakiua makumi ya maelfu ya waprotestants kila siku sababu ya kutotii amri za Papa.
Sema kanisa katoliki,Ndilo dhehebu pekee ambalo ni dola kamili km lilivyo dola la Tz na mengineyo hapa duniani!
Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa ukusanyaji taarifa zihusuzo dhehebu lao na madhehebu mengine!
Ndilo dhehebu pekee hapa duniani lenye ushawishi usiomithiliwa na jengine!
Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa kiinterijensia na uigwao na mataifa mengi hapa duniani!
Ndilo dhehebu pekee viongozi wao wakuu wakihitaji kuongea na mkuu wa dola wa nchi husika kwa mda wautakao wao-huweza!
Ndilo dhehebu pekee lenye idadi kubwa ya wafuasi kuliko dhehebu lolote hapa duniani!
Kifupi,Katoliki ni zaidi ya dini!
Arabuni kote walikuwa wao kabla yenu,mapanga yakatumika kuwamaliza japo hawakuisha woteLabda wana influence hiyo ktk bara giza, lakini ukienda maeneo kama ya Asia, hawana influence ya kiasi hicho, actually huko wao ni minority kama wasabato masalia.
Hakuna dhehebu katoliki nyie vipiNi dhehebu pekee ambalo viongozi wake wengi ni wana siasa wasiojulikana.
Kila wanachofañya madhehebu yoooote duniani wanachota humo kanisani,Soma historia ya kanisa katoliki.
Wewe kweli ni kitukoKumbe hata hujui crusade ilikuwa ni kwa ajili ya nini na nani alikiwa anapigana na nani, soma soma
Shukrani pia mkuu!Nakushukuru,hasa kwa mda wako mkuu!Tumepingana kwa hoja na tuendelee kupingana kwa hoja namna hiyo.Nakusihi,tuendelee kuupa afya mjadala huu kwa hoja na AMANI.