We we ndio umeyataka kuanza kusema Yesu so Mungu Mara utatu mtakatifu ni uongo! Ata sisi wakristu tukiamua kuchafua hali ya hewa tunaweza, umepewa vyako unaghafilika oh kashfa! We kusema utatu mtakatifu ni uongo kwako unaona siyo kashfa? Ukijaribu kutusema tu! Skuizi hakuna kuogopana tunaamsha dude, cha msingi ujue tu, huna haki na huruhusiwi kuurekebisha ukristo. Kama unaamini cha kwako ni sahihi baki nacho, sisi hatuutaki uislamu , kwanza dini gani haijiamini waumini wanajiridhisha kwa kukashifu ukristo.