Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Kama Mimi nadanganya weka ukweli na sio umebakia nadanganya nadanganya+bla bla bla...na uzwazwa...
Kama hudanganyi tafsiri maana ya kuapa kwa 1. Usiku 2. Mchana 3. Kike
Umeshobokea kike na kiume tu. Je usiku na mchana ninini kwa tafsiri hata kama ni yako tu? Tunasubiri jibu...
 
ni kanisa la amani bwana, usilifanye lionekane ni kanisa la hila!!
Maana vitisho vyako ni as if siyo Janisa la Yesu aliyefundisha Rehema!
Pumbavu ? Stupidity has no medicine [emoji381] and that's way most of the followers are those who are un educated ones ..jiulize wewe una fanya zambi alafu zambi ume mfanyia mungu lakini una kwenda kuungama kwa mtu ? Anae jiita father au padree?? napia yeye mwenyewe ana zambi zake.? ata ungama kwa nani yeye ?? And at the same time I personally think this guys are playing GOD
 
Tafsiri na usiku maana yake nini katika 92:1 Quran. Utawadanganya haohao...
Ameapa kwa usiku unapoingia nani huyo anaogopa usiku unapo INGIA. [emoji47] [emoji348] [emoji348]
 
Wewe huu uzi wako una hang! Em fanya kuujazia nyama ueleze kila kipengele in details!

Dola ipoje?

Mfumo wa ukusanyaji taarifa upoje?

Intelijensia ipoje?
 
blackpope..huyo ndo mkuu zaidi ya pope aliyechaguliwa...(somewhere from revelation)mnyama mwingne akaibuka akanena maneno ya kufuru kupitia mamlaka aliyopewa na mnyama wa kwanza...mataifa kama USA.britain..germany..yani kifupi nchi zilizokuwa chini ya roman empire zamani.....zinatoa maneno ya kufuru kama vile kuukubali USHOGA .maana maagzo yanatoka roma.....na rome inatumia mwamvuli wa dini kupeleka dunia kwenye NEW WORLD ORDER..somewhere from bible(baada ya yule mnyama kupona jeraha lake akapata nguvu na uwezo uliotukuka..watu wakamstaajabia mnyama yule kwa uwezo mkuu alionao) hapo longtime ago kuna papa alitekwa na rome ilianguka......baada ya muda aliachiwa na upapa kupewa mamlaka.....
 
xaxa bac chapa ya mnyama 666(vicarvis filii dei)(badala ya mwana mungu) as roman wamempa papa mamlaka ya kusamehe dhambi..na kwa kutuumia mataifa mAKUBWA ....ROME ITALAMISHANA KUTESA WATU ILI KUIKUBALI CHAPA YA MNYAMAA...mfano donald trump alishasaini kua cku ya kupumzika inayotambuliwa kiserikali ni jpili..means hutasali ijumaa au jmoc .....bali jumapili(SUN DAY) where VISVAN is residing......na kule roma kuna mashoga wakutoshaa.
 
Kweli mkuu ila shida ni pale unapomuona mtu Phd anapigia magoti sanamu la kuchongwa na mti na akaamini kuwa ni Yesu
ndiyo hapo ugundue kumbe ile ni zaidi ya sanamu, kuna mambo yalifanyika bila wewe kujulishwa ya kuifanya iwe zaidi ya sanamu uijuavyo wewe
 
Ndio thehebu pekee ambalo huzuia watumishi wake kuo au kuolewa huku likishindwa kudhibiti matendo ya usagaji na ufiraji kwa maketista na watawa wa kike.

Ndio thehbu pekee ambalo viongozi wake hutembelea magari ya kifahari huku waumini wake wakiishi katika umaskini wakupwa

Ndio thehbu pekee ambalo ukipinga mawazo ya viongozi wa juu utaishi maisha ya mashaka kama padri provetus Karugendo na Galileo alie uliwa na kanisa kwa uvumbuzi wake uliopingana na kabisa kuhusu dunia

Ndio thehbu pekee duniani ambalo hufanya unyama kwa wananchi kama ilivyotokea katika mauaji ya Kimbali nchini Rwanda.

Hii ndio roman Catholic himaya ya kisiasa iliyojificha katika mbawa za dini huku ikiendesha hujuma dhidi ya dini zingine hasa dini ambazo uamini uwepo wa mungu asiefungamana na Mali za kibinadam

Roman Catholic ndani ya ubatizo wa CCM kupitia mwalim nyerere kwa kuasisi Cristian Church Movement {CCM}
e7718ca389faaebf4b5e8add9c27a848.jpg

Kwani kuapa ni kuogopa?
 
xaxa bac chapa ya mnyama 666(vicarvis filii dei)(badala ya mwana mungu) as roman wamempa papa mamlaka ya kusamehe dhambi..na kwa kutuumia mataifa mAKUBWA ....ROME ITALAMISHANA KUTESA WATU ILI KUIKUBALI CHAPA YA MNYAMAA...mfano donald trump alishasaini kua cku ya kupumzika inayotambuliwa kiserikali ni jpili..means hutasali ijumaa au jmoc .....bali jumapili(SUN DAY) where VISVAN is residing......na kule roma kuna mashoga wakutoshaa.
dac614be4f2f28810ecf26a204d46673.jpg
 
Ndilo dhehebu pekee ambalo ni dola kamili km lilivyo dola la Tz na mengineyo hapa duniani!

Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa ukusanyaji taarifa zihusuzo dhehebu lao na madhehebu mengine!

Ndilo dhehebu pekee hapa duniani lenye ushawishi usiomithiliwa na jengine!

Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa kiinterijensia na uigwao na mataifa mengi hapa duniani!

Ndilo dhehebu pekee viongozi wao wakuu wakihitaji kuongea na mkuu wa dola wa nchi husika kwa mda wautakao wao-huweza!

Ndilo dhehebu pekee lenye idadi kubwa ya wafuasi kuliko dhehebu lolote hapa duniani!

Kifupi,Katoliki ni zaidi ya dini!

mengi ulio ya neno yana ukweli ndani yake ila naomba ufahamu mengi hayo yana uzito wa duniani bali si uzito wa kiroho ,so wakatoliki wajione muhmu kwa kua wakiitaji kuongea na mkubwa inchi ni uepesi, rabda ungetuambia ivii ndioo dhebu pekee lisilo na uwiyano na masanamu,ndo dhebu pekee lenye heshma kubwa kwa kusto dhalilisha ,ni dhehbu pekeee lenye kupinga moja kwa moja dhuluma dhidhi ya watu wengnee,
 
Weweumesema huamini Quran. Sasa mbona umeyaamini yaliyosemwa Muhammad aliruhusu Mqureish waabudu masanamu yao 3 na kwamba hiyo mistari haikuingizwa kwenye quran? Umeayaamini vipi sasa hayo? Mbona unajichanganya?
Akili yangu hainiruhusu kuamini ya kuwa Muhammad, alikuwa anaongea na malaika. Muhammad is a fraud, uislam kazi take si kusahihisha ukristo hatutaki. Na hatutabadilika mmetukuta miaka 600 tunafanya yetu mnataka kujifanya wajuaji.
 
Pumbavu ? Stupidity has no medicine [emoji381] and that's way most of the followers are those who are un educated ones ..jiulize wewe una fanya zambi alafu zambi ume mfanyia mungu lakini una kwenda kuungama kwa mtu ? Anae jiita father au padree?? napia yeye mwenyewe ana zambi zake.? ata ungama kwa nani yeye ?? And at the same time I personally think this guys are playing GOD
they ar just dumb asses who kneel before pastors and bishops.and pope...those fu**kn' balls who run the show towards NEW WORLD ORDER.....na waumini wao ni wabshi atar...na masanamu yao
 
N u think believing in unfounded conspiracy theories will save your soul. U think you r smart by hating something u have no clue about. Douche
they ar just dumb asses who kneel before pastors and bishops.and pope...those fu**kn' balls who run the show towards NEW WORLD ORDER.....na waumini wao ni wabshi atar...na masanamu yao
 
Back
Top Bottom