Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani aandika barua ya Kujiuzulu. Lugola na Andengenye wakalia kuti kavu, Rais Magufuli asema hawafai

Wakuu,

Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Kangi Lugola na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Ukoaji, Thobias Andengenye Wametumbuliwa muda huu. Huku Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Meja Jenerali Jacob Kingu akiandika Barua ya Kujiuzulu

Stay tuned
Lugola hata kutetea ubunge wake ktk jimbo lake mwaka huu upo shakani. Naona kwa mbali Musiba akipiga jalamba ili kulipwa fadhila.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani lugola anaidhinisha allowance ya dola 800 per day kwenye vikao vya kupitisha huo mradi, kumbe ndiyo maana alikuwa tayari kucheza ngoma mbele ya rais ili amfurahishe na kuficha madhambi yake.
Wakuu,

Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Kangi Lugola na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Ukoaji, Thobias Andengenye Wametumbuliwa muda huu. Huku Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Meja Jenerali Jacob Kingu akiandika Barua ya Kujiuzulu

Stay tuned

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Magufuli amethibitisha kuwa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola amejiuzulu nafasi yake.

“Kangi Lugola nakupenda sana na hapa umenisifia kwelikweli nakushukuru lakini kwenye hili hapana, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani nampenda sana lakini kwenye hili la kwenda Nje ya Nchi unasaini fedha ambazo hazijapitishwa hata na Bunge hapana”

"Ninajua Waziri wa Mambo ya Ndani hayupo hapa ameshaandika barua ya kujiuzulu na mimi nimeshamkubalia"

Pia Dkt.John Pombe Magufuli amemuondoa kwenye nafasi yake Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini Tanzania, Thobias Andengenye kutokana kwenda ulaya kusaini mdaradi ambao haujapitishwa na bunge.
Kwani yeye nani alipitisha ununuzi wa ndege?? /na yeye aachie ngazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona waziri was mambo ya ndani namuona hapa yupo na wewe unasema hayupo
Rais Magufuli amethibitisha kuwa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola amejiuzulu nafasi yake.

“Kangi Lugola nakupenda sana na hapa umenisifia kwelikweli nakushukuru lakini kwenye hili hapana, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani nampenda sana lakini kwenye hili la kwenda Nje ya Nchi unasaini fedha ambazo hazijapitishwa hata na Bunge hapana”

"Ninajua Waziri wa Mambo ya Ndani hayupo hapa ameshaandika barua ya kujiuzulu na mimi nimeshamkubalia"

Pia Dkt.John Pombe Magufuli amemuondoa kwenye nafasi yake Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini Tanzania, Thobias Andengenye kutokana kwenda ulaya kusaini mdaradi ambao haujapitishwa na bunge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi alikumbuka tena kumsalimia shikamoo Mzee wa vibendera vya uzalendo na msaafu wa chama Kila akistukiza vituo vya polisi
 
Back
Top Bottom