Lugola hata kutetea ubunge wake ktk jimbo lake mwaka huu upo shakani. Naona kwa mbali Musiba akipiga jalamba ili kulipwa fadhila.Wakuu,
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Kangi Lugola na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Ukoaji, Thobias Andengenye Wametumbuliwa muda huu. Huku Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Meja Jenerali Jacob Kingu akiandika Barua ya Kujiuzulu
Stay tuned
Wakuu,
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Kangi Lugola na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Ukoaji, Thobias Andengenye Wametumbuliwa muda huu. Huku Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Meja Jenerali Jacob Kingu akiandika Barua ya Kujiuzulu
Stay tuned
Kwani yeye nani alipitisha ununuzi wa ndege?? /na yeye aachie ngaziRais Magufuli amethibitisha kuwa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola amejiuzulu nafasi yake.
“Kangi Lugola nakupenda sana na hapa umenisifia kwelikweli nakushukuru lakini kwenye hili hapana, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani nampenda sana lakini kwenye hili la kwenda Nje ya Nchi unasaini fedha ambazo hazijapitishwa hata na Bunge hapana”
"Ninajua Waziri wa Mambo ya Ndani hayupo hapa ameshaandika barua ya kujiuzulu na mimi nimeshamkubalia"
Pia Dkt.John Pombe Magufuli amemuondoa kwenye nafasi yake Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini Tanzania, Thobias Andengenye kutokana kwenda ulaya kusaini mdaradi ambao haujapitishwa na bunge.
Rais Magufuli amethibitisha kuwa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola amejiuzulu nafasi yake.
“Kangi Lugola nakupenda sana na hapa umenisifia kwelikweli nakushukuru lakini kwenye hili hapana, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani nampenda sana lakini kwenye hili la kwenda Nje ya Nchi unasaini fedha ambazo hazijapitishwa hata na Bunge hapana”
"Ninajua Waziri wa Mambo ya Ndani hayupo hapa ameshaandika barua ya kujiuzulu na mimi nimeshamkubalia"
Pia Dkt.John Pombe Magufuli amemuondoa kwenye nafasi yake Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini Tanzania, Thobias Andengenye kutokana kwenda ulaya kusaini mdaradi ambao haujapitishwa na bunge.
Kwa ile lugha ya raisi wa wa Tanzania aliyokuwa anaitumia wa waziri wa mambo ya ndani na kamishina wa jeshi la magereza Mr. Andengenye bila wasiwasi wowote wale jamaa weishakanyaga nyaya za tanesco.
Tukanyage kwa adabu ardhi ya Muumba.Cheo ni dhamana. Karibu mtaani.
Sent using Jamii Forums mobile app