Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Kijana mwenye akili nyingi,hekima, busara na upeo wa hali ya juu, John John Mnyika, Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kesho Jumatano tarehe 29.01.2020 saa tano asubuhi atakuwa hewani akitoa darasa la siasa, demokrasia na maendeleo.
Madini ya Mnyika hayapaswi kupitwa na kila Mtanzania anayejitambua.
Usikose
Sent using Jamii Forums mobile app
Madini ya Mnyika hayapaswi kupitwa na kila Mtanzania anayejitambua.
Usikose
Sent using Jamii Forums mobile app