Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,138
- 10,545
Hello JF.
Katika purukushani za kusimamia ulinzi na usalama wa maliasili za nchi yetu, tulisikia hoja nyingi kutoka kila kona ya nchi.
Mojawapo ni ni mchapano wa Mabaraza haya mawili, Baraza la Maaskofu, TEC lililoleta hoja kali kinzani kwa serikali.
Pili, Baraza Kuu kabisa la Waislamu Tanzania nao wakatoa Neno lao la Hekma!!
Nini maoni yako juu ya matamko ya haya mabaraza mawili?
Katika purukushani za kusimamia ulinzi na usalama wa maliasili za nchi yetu, tulisikia hoja nyingi kutoka kila kona ya nchi.
Mojawapo ni ni mchapano wa Mabaraza haya mawili, Baraza la Maaskofu, TEC lililoleta hoja kali kinzani kwa serikali.
Pili, Baraza Kuu kabisa la Waislamu Tanzania nao wakatoa Neno lao la Hekma!!
Nini maoni yako juu ya matamko ya haya mabaraza mawili?