Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,384
Kuna kitu sielewi naomba kuelimishwa, Nyerere alikwenda Marekani kwa rafiki yake Rais wa Marekani akamwambia watu wangu wanakufa njaa, Wamarekani wakatuletea mahindi ya njano (unga wa Yanga) ili ng'ombe sisi tusife.
Leo Wamarekani wamegundua utapiamlo ni tatizo kwa watoto wa Tanzania imekuwa na program ya kuhakikisha watoto wanakula na kushiba na kuboost nutritions maneno kibao.
Sasa swali la kujiuliza, mbona hatukuwahi kuhoji ARV zinazotolewa bure na Marekani ili kurefusha maisha ya waathirika wa HIV?
Bashe waambie Wamarekani hatutaki ARV viwanda tunavyo waje wazalishe hapahapa.
Leo Wamarekani wamegundua utapiamlo ni tatizo kwa watoto wa Tanzania imekuwa na program ya kuhakikisha watoto wanakula na kushiba na kuboost nutritions maneno kibao.
Sasa swali la kujiuliza, mbona hatukuwahi kuhoji ARV zinazotolewa bure na Marekani ili kurefusha maisha ya waathirika wa HIV?
Bashe waambie Wamarekani hatutaki ARV viwanda tunavyo waje wazalishe hapahapa.