GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Ingawa yote ni magari ya kazi, nahisi kuna linalomudu zaidi mazingira ya "kipori pori" kuzidi "jenzake".
Muda mrefu litakuwa likitumika Kanda ya Ziwa na mara chache Nyanda za Juu Kusini, hasa Rukwa na Katavi.
SIFA ZA GARI LINALOHITAJIKA:
1. Double Cabin Pick Up
2. Limudu safari ndefu za mara kwa mara
3. Limudu barabara za aina zote: lami, vumbi, na hata zenye utelezi nyakati za mvua
4. Liwe na uwezo wa kubeba mizigo midogo mara kwa mara na wakati mwingine muda mrefu - kutoka Mkoa mmoja hadi mwingine au mingine
5. Lililo na uwezekano wa kudumu
muda mrefu.
Lipi linakidhi hivyo vigezo kati ya FORD RANGER na LAND CRUISER?
Kuna lililo bora zaidi kuzidi hayo machaguo mawili?
Muda mrefu litakuwa likitumika Kanda ya Ziwa na mara chache Nyanda za Juu Kusini, hasa Rukwa na Katavi.
SIFA ZA GARI LINALOHITAJIKA:
1. Double Cabin Pick Up
2. Limudu safari ndefu za mara kwa mara
3. Limudu barabara za aina zote: lami, vumbi, na hata zenye utelezi nyakati za mvua
4. Liwe na uwezo wa kubeba mizigo midogo mara kwa mara na wakati mwingine muda mrefu - kutoka Mkoa mmoja hadi mwingine au mingine
5. Lililo na uwezekano wa kudumu
muda mrefu.
Lipi linakidhi hivyo vigezo kati ya FORD RANGER na LAND CRUISER?
Kuna lililo bora zaidi kuzidi hayo machaguo mawili?